wanaelimisha jamii wakati wao hawakuelimika!!
No wonder, they wants to make news everywhere they go!!!
Makope ya kubandikaMhh hii globalization si mchezo...yani mtu anajikwatua hivi? kama huyu Koleta hadi eyeshadow za rangi rangi?
Unafki mtupu mie nifiwe mje hivyo walahi nawatimua:crying::crying::crying:
Unafki mtupu mie nifiwe mje hivyo walahi nawatimua:crying::crying::crying:
walaaniwe kabisa howcome anakuja kavalia mavazi kama hayo kwenye msiba?Jamani msiba ni kupotelewa na ndugu hata uvae magunia au ujipake majivu ndugu kafa harudi mavazi hayana sababu kuwalaani hao