zwangandaba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 747
- 1,404
Kwanza niwape pole na msiba wanmwigizaji mwenzenu Fredi.Mwenyezi Mungu amweke marehemu mahali alipojitqyarishia wakati y'u hai.
Imekuwa nintabia ya miaka nenda rudi na imekuwa utaratibu wa maisha ya wasanii kwamba kila wakiumwa wao ni 'kuomba serikali iwasaidie kuwatibu kana kwamba wao hawapatagi kipato.
Naomba serikali iache kuwadekeza haws matapeli lakini pia waambiwe ulkweli.
Haiwezekani nyie kazi yenu kuishi maisha feki nje ya uhalisia.
Wasainii wanapata pesa ila hawanaga akili ya kuweka akiba. Wengi wao wanaiashi maisha ya maigizo na kuthamini starehe, ulevi,umalaya nk.
Msanii aanawekeza pesa kwenye mikorogo na starehe lakini hana akili ya kujiwekea akiba yankesho ama kujikaatia bima ya matibabu kutoka kile anaachopata.
Mwisho wa siku mtu anaanza kuumwa hana hata mia ya matibabu matokeo yake ni kuishushia serikali lawama kwa kutopaatiwa matibabu.
Wasanii oneni hata haya basi,sio kila siku nyie kulia lia na kutembeza mabakuli.
Fanyeni ujinga mtakavyo lakini kumbuka kuna kesho
Imekuwa nintabia ya miaka nenda rudi na imekuwa utaratibu wa maisha ya wasanii kwamba kila wakiumwa wao ni 'kuomba serikali iwasaidie kuwatibu kana kwamba wao hawapatagi kipato.
Naomba serikali iache kuwadekeza haws matapeli lakini pia waambiwe ulkweli.
Haiwezekani nyie kazi yenu kuishi maisha feki nje ya uhalisia.
Wasainii wanapata pesa ila hawanaga akili ya kuweka akiba. Wengi wao wanaiashi maisha ya maigizo na kuthamini starehe, ulevi,umalaya nk.
Msanii aanawekeza pesa kwenye mikorogo na starehe lakini hana akili ya kujiwekea akiba yankesho ama kujikaatia bima ya matibabu kutoka kile anaachopata.
Mwisho wa siku mtu anaanza kuumwa hana hata mia ya matibabu matokeo yake ni kuishushia serikali lawama kwa kutopaatiwa matibabu.
Wasanii oneni hata haya basi,sio kila siku nyie kulia lia na kutembeza mabakuli.
Fanyeni ujinga mtakavyo lakini kumbuka kuna kesho