Aliripoti habari ki mange mambiNdugu tatizo mnalipoti vibaya ili uonekane unachokiongea kipko sahihi,wanasema watazuia mikanda yote kutoka nnje ambayo haifuati utalatibu kama kupitia cosota ,yra na nk hivi hujihurumii hata wewe soko moja mnatengeneza bidhaa moja mwenzio halipi kodi wewe unalipa kodi unaweza kumshinda kweli huyu kibiashara?
Tunadownload tu
Wasalaam wanajf
Hivi karibuni nimemsikia kamanda Wa jeshi la polisi akitoa tahadhali na muda kuhusu kusitisha usambazaji Wa mikanda ya filam za nje ili kulinda soko la wasanii wetu.
Nafikili kwa wazo hili wasanii wangelipinga sana kwani linawadhalilisha ya kwamba hawawezi kuigiza ndio maana hawana soko mpaka serikali iingilie kati
Suluhisho :Serikali isingezuia ila ingewapa usaidizi tasnia hii ya uigizaji ili iboreshe kazi zake na kupendwA moja kwa moja na watazamaji badala ya kutumia ubabe
Angalizo: Unaweza kumpeleka ng'ombe mtoni lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji
Ha ha ha ha haaaaaaTunadownload tu
Hakuna mtu anaye jielewa akaenda kununua bongo movie kwa sasa hazina mvuto ni wachache sana wanaoangalia bongo movie tena watoto ma watu ambao hawaojajitambua watu wengi wanaangalia kupitia cable tv's na chanel mbali mbali wapenda movie hasa hata wengi wanaoenda cinema wanapenda movie za nje sababu ya ubora na storyline zilivyopangiliwaHoja ya msingi mbona huijibu mnafanya biashara ya aina moja wote na sehemu moja ila mwenzako halipi kodi zote we unalipa hivi unaweza kushindana naye huyu,kuhusu filamu siyo kweli zote ni mbovu zipo nzuri ambazo watu wanazifurahia,hata zhizo za nnje zipo ambazo unaweza kuangalia na usizifurahie,jibu swali la msingi hilo la mwanzo
Mbona hueleweki unasema hakuna anayekwenda kununua ila wanaangalia kuangalia tu ni ishara kuwa zinapedwa kwani ving,amuzi si unalipia,mi nilidhani utasema haziangaliwi kabisa,ushahidi mzuri hata hapo mtaani kwano kunakibanda kinakodisha hizo movies inawezekana pia kunamtu hapo kwenu huwa anatowa hela yke kuzikodisha na kuangalia hapo nymbani ukiwemo na wewe ujitowa ufahamu nako kipajiHakuna mtu anaye jielewa akaenda kununua bongo movie kwa sasa hazina mvuto ni wachache sana wanaoangalia bongo movie tena watoto ma watu ambao hawaojajitambua watu wengi wanaangalia kupitia cable tv's na chanel mbali mbali wapenda movie hasa hata wengi wanaoenda cinema wanapenda movie za nje sababu ya ubora na storyline zilivyopangiliwa
Endelea kujiipa moyo ila mjue soko lenu halitakua kama hamna story za maana na ubora wa filamuzenuMbona hueleweki unasema hakuna anayekwenda kununua ila wanaangalia kuangalia tu ni ishara kuwa zinapedwa kwani ving,amuzi si unalipia,mi nilidhani utasema haziangaliwi kabisa,ushahidi mzuri hata hapo mtaani kwano kunakibanda kinakodisha hizo movies inawezekana pia kunamtu hapo kwenu huwa anatowa hela yke kuzikodisha na kuangalia hapo nymbani ukiwemo na wewe ujitowa ufahamu nako kipaji
Halafu point yangu siyo swala nani anaangalia tumia akili siyo makalio unaposoma koment ya mtu na kuishobokoea kuijibu,my point ni soko moja mnatengeneza bidhaa moja mnawauzia watu wa aina moja.halafu mmoja analipa kodi na makato mengine mwingine halipi hawa watu hawawezi kushindana kibiashara kama ni kupedwa basi hata madawa yakulevya yaache yauzwe sababu watu wanayapenda na yanatowa ajila ,haya natumaini umetumia akili kuisoma hii koment siyo makalio kama mwanzo unaweza kuijibu sasa kama bado unashobokea msj zanguHakuna mtu anaye jielewa akaenda kununua bongo movie kwa sasa hazina mvuto ni wachache sana wanaoangalia bongo movie tena watoto ma watu ambao hawaojajitambua watu wengi wanaangalia kupitia cable tv's na chanel mbali mbali wapenda movie hasa hata wengi wanaoenda cinema wanapenda movie za nje sababu ya ubora na storyline zilivyopangiliwa
Broo mbona unatukana kama hamjui hamjui tu punguza hasira kajipange upya soko moja pia ushindani hamu uwezi sababu movie zenu hazina uboraHalafu point yangu siyo swala nani anaangalia tumia akili siyo makalio unaposoma koment ya mtu na kuishobokoea kuijibu,my point ni soko moja mnatengeneza bidhaa moja mnawauzia watu wa aina moja.halafu mmoja analipa kodi na makato mengine mwingine halipi hawa watu hawawezi kushindana kibiashara kama ni kupedwa basi hata madawa yakulevya yaache yauzwe sababu watu wanayapenda na yanatowa ajila ,haya natumaini umetumia akili kuisoma hii koment siyo makalio kama mwanzo unaweza kuijibu sasa kama bado unashobokea msj zangu
Ona umeenda nnj ya point tena ndugu hivi ni kweli hauelewi nachokizungumzia au,nimesema hoja yangu siyo nani anaangalia hoja yangu ni soko moja bidhaa moja mnawauzia watu wa aina moja ,halafu kuna mmoja analipa kodi na makato mengi mwingine halipi hawa watu wanaweza vipi kushindana kibiashara ukienda nnje ya mada tena utanisaidia kujuwa kwamba nazungumza na mtu ambaye hajielewi hivyo sitakuwa na sababu tena ya kukujibu.Endelea kujiipa moyo ila mjue soko lenu halitakua kama hamna story za maana na ubora wa filamuzenu
Mi siyo mcheza bongo movies nzuri huwa naangakia mbaya huwa siangalii ndo msimamo wangu ,jibu hoja nimechoka kukufananulia nini hoja yangu,Broo mbona unatukana kama hamjui hamjui tu punguza hasira kajipange upya soko moja pia ushindani hamu uwezi sababu movie zenu hazina ubora
We jamaa akili ndogo sana kama movie mnazotengenezaOna umeenda nnj ya point tena ndugu hivi ni kweli hauelewi nachokizungumzia au,nimesema hoja yangu siyo nani anaangalia hoja yangu ni soko moja bidhaa moja mnawauzia watu wa aina moja ,halafu kuna mmoja analipa kodi na makato mengi mwingine halipi hawa watu wanaweza vipi kushindana kibiashara ukienda nnje ya mada tena utanisaidia kujuwa kwamba nazungumza na mtu ambaye hajielewi hivyo sitakuwa na sababu tena ya kukujibu.