Wasanii wa bongo movie msichekelee kuhusu tamko la jeshi la polisi

Waache mambo ya watch part two...movie haieleweki hata kidogo.. Ukianza kuielewa kidogo wanaandika watch part two..mbaya zaidi hiyo part two nayo inaanza nyuma km dk kumi hivi.kitu usjakiona.. Unakirudia tena.....ending of the movie ndy hakueleweki kabisaa...sasa mambo gani kulazimishana kuangalia movie za NYOKA MTU..mara KIMENUKA...yaani title of the movie ni balaa.... Ngoja uiangalie hyo movie... Uozo mtupu
 
Bongo movie chenga tu kama vipi wasubiri uchaguzi wakafanye kampeni ndio kazi wanayoiweza. Acha sisi tuendelee kuwatajirisha Hollywood maana ndio kwenye movie za uhakika.
 
Aliripoti habari ki mange mambi
 

Bongo muvi ndio nini
 
bongo muvi?..watuache kidogo ....au wanadili biashara
 
Hao bongolala wanajidanganya kuwa tutaangalia huo upuuzi wao.

Hizo takataka zao watamuuzia Bashite tu.
 
Hakuna mtu anaye jielewa akaenda kununua bongo movie kwa sasa hazina mvuto ni wachache sana wanaoangalia bongo movie tena watoto ma watu ambao hawaojajitambua watu wengi wanaangalia kupitia cable tv's na chanel mbali mbali wapenda movie hasa hata wengi wanaoenda cinema wanapenda movie za nje sababu ya ubora na storyline zilivyopangiliwa
 
walivyo tuuza kwenye uchaguzi walidhani wanatukomoa dawa ya moto ni moto
 
Mbona hueleweki unasema hakuna anayekwenda kununua ila wanaangalia kuangalia tu ni ishara kuwa zinapedwa kwani ving,amuzi si unalipia,mi nilidhani utasema haziangaliwi kabisa,ushahidi mzuri hata hapo mtaani kwano kunakibanda kinakodisha hizo movies inawezekana pia kunamtu hapo kwenu huwa anatowa hela yke kuzikodisha na kuangalia hapo nymbani ukiwemo na wewe ujitowa ufahamu nako kipaji
 
Endelea kujiipa moyo ila mjue soko lenu halitakua kama hamna story za maana na ubora wa filamuzenu
 
Halafu point yangu siyo swala nani anaangalia tumia akili siyo makalio unaposoma koment ya mtu na kuishobokoea kuijibu,my point ni soko moja mnatengeneza bidhaa moja mnawauzia watu wa aina moja.halafu mmoja analipa kodi na makato mengine mwingine halipi hawa watu hawawezi kushindana kibiashara kama ni kupedwa basi hata madawa yakulevya yaache yauzwe sababu watu wanayapenda na yanatowa ajila ,haya natumaini umetumia akili kuisoma hii koment siyo makalio kama mwanzo unaweza kuijibu sasa kama bado unashobokea msj zangu
 
Broo mbona unatukana kama hamjui hamjui tu punguza hasira kajipange upya soko moja pia ushindani hamu uwezi sababu movie zenu hazina ubora
 
Endelea kujiipa moyo ila mjue soko lenu halitakua kama hamna story za maana na ubora wa filamuzenu
Ona umeenda nnj ya point tena ndugu hivi ni kweli hauelewi nachokizungumzia au,nimesema hoja yangu siyo nani anaangalia hoja yangu ni soko moja bidhaa moja mnawauzia watu wa aina moja ,halafu kuna mmoja analipa kodi na makato mengi mwingine halipi hawa watu wanaweza vipi kushindana kibiashara ukienda nnje ya mada tena utanisaidia kujuwa kwamba nazungumza na mtu ambaye hajielewi hivyo sitakuwa na sababu tena ya kukujibu.
 
Broo mbona unatukana kama hamjui hamjui tu punguza hasira kajipange upya soko moja pia ushindani hamu uwezi sababu movie zenu hazina ubora
Mi siyo mcheza bongo movies nzuri huwa naangakia mbaya huwa siangalii ndo msimamo wangu ,jibu hoja nimechoka kukufananulia nini hoja yangu,
 
We jamaa akili ndogo sana kama movie mnazotengeneza
Kwanza kabisa kinachomvutia mtu kununua sio bei ila ni content iliyopo ndani pili ndo linakuja swala la bei sasa kama story zenu na kiwango cha movie zipo chini hizo movie za nje zikilipiwa kodi na zikauzwa bei sawa na za kwenu bado za nje zitauza zaidi

Usikimbilie kuangalia ulipo anguka angalia ulipo jikwaa


Mfano hai ni vodacom wanatangaza tiketi za cinema ya fast 8
Izo za kwenu mnazindua vipi na mnajitangaza vipi afu zina ubora upi

Bashite wewe usilalamike tu leta kitu chenye kiwango kitauzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…