Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Turudi kwenye uhalisia. Tuseme angekuwa baba yake mzazi angelifanya kama alivyofanya?Mimi namlaumu Albert bashite nahisi mkono wake upo katika hili japo hakutamka hadharani kama alivyofanya kipindi kile.
Sent From Galaxy S20 Ultra
Poa mkuu, ila za kidoti kutumika na chaputa haina shidaUnaweza kuchukua picha ya baba yako ukaiweka mtandaoni ukaanza kucheka kwa kejeli? Acheni kutumika vibaya mtaumia. Huyu jijaba hana adabu hata kidogo na ndio maana wasabi wenzake wamempotezea
God save us
Angepost ya kwake kama alivyofanya jide au angempost babaake... au angepost picha tu ya jpm basi ingetosha! Lakini kitendo cha kupost picha ya jpm huku akiwa anacheka tena kwa kwa dharau mana si kucheka tu.. hiyo inaonyesha ni jinsi gani dogo kwao alivyolelewa. Mara ya kwanza alipotiwa nguvuni kwa kosa lile lile watu wengi walipaza sauti hata mm nilimtetea dogo kwa nafasi yangu kama mtanzania wa kawaida. Lakini hiyo haitoshi karudia tena kosa lile, acha kwanza wamnyooshe kama kwao hajafunzwa adabu! Mie sina chama na wala sifungamani na upande wowote ule kisiasa na ndio maana hunioni hata siku moja kwenye majukwaa ya siasa. Ila kwa umri wa jpm, idrisa ni kama baba yake.
Wanaomdhihaki Rais ni jeshi la polisi sio Idrisa, wangempuuzia hata Mimi nisingejua kafanya nini na hiyo picha nisingeitafuta kuiona.Huyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !
Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
Ni Marekani ipi hiyo?Huyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !
Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
akili na upeo kama huu ndio umemponza huyo mwenzenu, hamfikili kwamba urais ni taasisi, hamfikilii kuwa ile mibaba na suti nyeusi inahenyeka na kuminyana kuilinda hiyo taasisi ila nyie pale mnamuona Magufuli tu.... sasa wacha apambane na wenye taasisi yao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kuabudu binadamu wenzenu.inaoneka mnamuogopa jiwe kuliko mungu.uwoga ni rafiki wa ujinga.
Sasa idriss kiicheka ile picha jiwe amepungukiwa na nini, kuna vitu vingine viache vipite maisha yaendelee. Jiwe anajiona kama malaika vile yaani kuwa rais basi anajiona kamaliza kila kitu hapa duniani. Ni ushamba tu unamsumbua.
Ingekuwa wapi?maneno hayo ilibidi atamke MTU Wa USA kuwa ingekuwa Africa, sitetei ila inaonyesha hujui lolote kuhusu USA,trump yule anaetukanana na wananchi wake katika Twitter, usifananishe kabisa USA na Tanzania yetuHuyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !
Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
Na wewe kuwa rais basi kama ni rahisi acha wivu mkuuπππππ acheni kuabudu binadamu wenzenu.inaoneka mnamuogopa jiwe kuliko mungu.uwoga ni rafiki wa ujinga.
Sasa idriss kiicheka ile picha jiwe amepungukiwa na nini,kuna vitu vingine viache vipite maisha yaendelee.jiwe anajiona kama malaika vile yaani kuwa rais basi anajiona kamaliza kila kitu hapa duniani.ni ushamba tu unamsumbua.
Wewe hutambui unachoongeaHuyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !
Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
Acha lawama na wewe kashindeKijana alipata mtaji mzuri sana toka bba, ilikuwa ni wakati mzuri sana kwake kufanya mambo mengine badala ya kulazimisha kipaji ambacho hana, matokeo yake sasa anajiingiza kwenye migogoro na dola kusaka umaarufu, Kwan Africa rais ni mfalme, jina ndio limebadilika tu!
Mbona mnatafuta huruma ya wasanii, wao ndio walimtuma akamcheke mtukufu pichani?
Unamdhihaki vipi wakati picha alipiga mwenyewe? Ni kama leo chaputa wakitumia picha za kidoti ambazo aliposti yeye mwenyewe
Fikra zako hizo na hayo kipindi cha Obama not nowMarekani hata kunyanduana midume ni haki ya kila raia.
lakini sio ref ya uzuri wa jambo lenyewe.
Muulize mleta madaMbona mnatafuta huruma ya wasanii, wao ndio walimtuma akamcheke mtukufu pichani?