nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Utashangaa Diamond insta ana 15M followers ila Twita ana 1M kama Maria Sarungi 🤣Haujaelewa kitu boss ni kwamba nchi kama Nigeria watu wapo busy sana na mambo yao hawatumii sana mitandao ya kijamii japo wapo wengi kwa idadi kuliko tz, Tanzania social media ni big issue tofauti na nchi kibao kwa mfano UK uwa hawana matumizi makubwa ya social media ndo maana ata kufollow follow artists hawana muda ndo maan Kanye west na Jay Z hawaamini katika numbers maana uwa zinadanganya , ukilinganisha mafanikio ya wasanii na fan base zao kwa followers wa instagram unakuwa una fail, maana kwa mfano US wizkid ana fan base kubwa ambao hawatumii sana social media na hawana mpango wa kumfollow, nipende kusema tu wabongo bado washama wa insta😀😀na hao followers wengi wa wasanii wa Tanzania ni wabongo 😀😀watanzania hatuna shughuli za kufanya ndo maana ata tuzo za kupiga kupitia mitandaoni uwa watanzania wanashinda eti kuliko nigeria , wakati wanaija wapo wengi
Sasa Twitter si hawanaga habari na mtu ambaye hana habari nao, kila social media inasifa zake, Twitter uwa watu wanafollow watu ambao wana interact nao, hawapendi kumfollow mtu anayejikuta star sana na hachangii hoja au kujibu comments zao, ndo maana Twitter wasanii wanaokubalika bongo ni AY, JIDE, FA na FID ila hao wengine mtandao wao ni insta maana uko ndo wanashobokewa na kubabaikiwa, na kuna maboya waoUtashangaa Diamond insta ana 15M followers ila Twita ana 1M kama Maria Sarungi 🤣
Sasa Diamond ana nini cha maana cha kuandika Twitter?Utashangaa Diamond insta ana 15M followers ila Twita ana 1M kama Maria Sarungi 🤣
Ana tangazo la ajira kule mfuatilie akuite kwenye usaili Kigoma mzee wa kazi ya TRA😂😂😂Sasa diamond ana nini cha maana cha kuandika Twitter?
Umeongea point , lakini bado kuna ukweli kuwa wasanii wetu huwa wanaboost account , na hata comment , imagine mtu ana followers 2.5 milion alaf akipost , comment zinaishia 20 au 15, mwingine anapost ndani ya masaa 2 comment 1000 alaf zinaganda hapo hapo milele , ukichunguza comments unakuta kuna watu baadhi , mfano mtu mmoja tuu kacomment 20 times na caption ya 🔥... Basi tuu ionekane anafatiliwa , .... Siwezi kuhukumu Sana Ila watz janja janja nyingi ambazo zinatupa matokeo ya kijanja janja pia ...Haujaelewa kitu boss ni kwamba nchi kama Nigeria watu wapo busy sana na mambo yao hawatumii sana mitandao ya kijamii japo wapo wengi kwa idadi kuliko tz, Tanzania social media ni big issue tofauti na nchi kibao kwa mfano UK uwa hawana matumizi makubwa ya social media ndo maana ata kufollow follow artists hawana muda ndo maan Kanye west na Jay Z hawaamini katika numbers maana uwa zinadanganya , ukilinganisha mafanikio ya wasanii na fan base zao kwa followers wa instagram unakuwa una fail, maana kwa mfano US wizkid ana fan base kubwa ambao hawatumii sana social media na hawana mpango wa kumfollow, nipende kusema tu wabongo bado washama wa insta😀😀na hao followers wengi wa wasanii wa Tanzania ni wabongo 😀😀watanzania hatuna shughuli za kufanya ndo maana ata tuzo za kupiga kupitia mitandaoni uwa watanzania wanashinda eti kuliko nigeria , wakati wanaija wapo wengi
Kununua page ambayo hausiani na kitu unachoenda kuifanyia na kununua followers ni sawa na kujitekenya mwenye halafu unacheka😀😀Umeongea point , lakini bado kuna ukweli kuwa wasanii wetu huwa wanaboost account , na hata comment , imagine mtu ana followers 2.5 milion alaf akipost , comment zinaishia 20 au 15, mwingine anapost ndani ya masaa 2 comment 1000 alaf zinaganda hapo hapo milele , ukichunguza comments unakuta kuna watu baadhi , mfano mtu mmoja tuu kacomment 20 times na caption ya 🔥... Basi tuu ionekane anafatiliwa , .... Siwezi kuhukumu Sana Ila watz janja janja nyingi ambazo zinatupa matokeo ya kijanja janja pia ...
Mimi Nina account moja ya biashara nimefungua Instagram , mpak sasa ina followers 600 tuu , na hao wamekuja baada ya kuvutiwa na bidhaa zangu ambazo mostly napromote , na mzigo unatembea , lakni cha kushangaza kila sku dm ni nyingi watu wananifata ooh naongeza followers , fanya accnt yako iwe na followers wengi , sasa unaniongezea followers ambao sio interested na bidhaa zangu utanipa faida gan ? Anyway ndo maisha yalivyo lakni
Zaidi ya inama, chomeka chomoaSasa Diamond ana nini cha maana cha kuandika Twitter?