Wasanii wa Bongofleva hawawezi kupiga show live, tatizo nini?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Kwanini wasanii wetu wa Bongofleva hawawezi kupiga show live, tatizo nini hasa hapa?
 
Kuna siku nilikua namsikiliza msanii mmoja anaimba live aibu nilimua naona mie sauti inavyokata...
 
shule majanga, muziki sio kwenda kwa Mazou akugongee auto tuner then unakuja jukwaani lazima ukorome
 
lukelo sakafu aka mzee wa mathread;

Hawa wasanii wetu buuuure bila hela na vipaji vya kuunga unga.... hawana uwezo wa kuimba live utawaaibisha buuuure
 
Last edited by a moderator:
Recording artist wengi including Beyonce na wengine kama yeye believe it or not wanafanya show kwa kutumia perfomance track, ambayo ina instruments, backing vocals na hook vocal.
Kwahiyo watu wanaweza kufikiri msanii anafanya lip-synching kwasababu kipande ambacho msanii aimbi na wanasikia vocal ambazo zipo kwenye perfomance track. Lakini kipindi chote microphone ya mwimbaji inakuwa on. Sio rahisi physically to mic an entire band for every segment that comes up. Na hii sio cheating lakini overuse utakuwa utoto tena wala sio kazi ya sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…