Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,410
Wewe ndo umeandika pumba kabisa na unaonekana hata mziki ufatilii mzee baba unatuaibisha bwanaHatuna wasanii mashuhuri, ila tuna wasanii maarufu.
Kwa kawaida watu mashuhuri huwa wanafanya kazi kuzingatia ubora, watu maarufu hufanya kazi kwa kutafuta kiki kwenye Mass media.
Chunguzeni nyimbo za diamond Platinum
Namba nyingine kwenye nini ?Acha utani kwenye mambo serious,Beyonce number nyingine.
Eti zeroo kazi kujishaua kwani asipotuchagua hatuishi kwanza huyo mtenda dhambi atupwe kule anajifanya bikira maria .Mseng.e tu nae
Kweli nimewasahau hao jamaaNavy kenzo na Sauti Sol umewasahau bro
Amerogwa huyoBeyonce zamani? Fanya research Kwanza?
Mi habari niyosikia ni kwamba wasanii wa East Africa ndio wamemtosa Beyonce. Sasa wewe acha kuchakachua habari.
After looooong paragraph,still jibu nlichokuuliza kama utapendaNgojea nikupe elimu ya bure kuwa msanii wa kimataifa Kuna levels mbili moja kuwa wa kimataifa kwa ngazi ya kiafrika hapa namaanisha kufanya vizuri Sana kwenye nch za Africa level ya pili kufanya vizuri zaidi nje ya Africa niliyowataja wanafanya vizuri Sana afrika angalia hata show wanazofanya zinajaza na pia wanafanya kwenye maukumbi mfano Kama diamond huu mwaka huu kwa miezi iliyobaki ana show 24 na nyingi Sana ni nchi za Africa lakini kwa maana ya nje ya Africa afanyi vizuri Sana lakini aimuondoi yeye kuitwa msanii wa kimataifa cos anafanya vizuri barani Africa huyo jamaa brave one alichokosea ni kuwalazima hao wasanii wawe level sawa na wasanii wanafanya vizuri Africa na nje ya Africa Kama Wizkid na davido.
kipimo ni beyonce, huyu ndiye msanii pekee unayemjua? mtu na kazi yake ni lzma akushirikishe ww ili tuamini kuwa africa mashariki kuna wasanii?Kitendo Cha Beyonce kuzindua Album yake mpya ya Lion King Huku akiwashirikisha wasanii wakali wa Africa Huku akiwatosa wasanii wa East Africa Ni kilelezo tosha kwamba East Africa Bado hatuna International artist wa kweli wenye nguvu.
Wasanii Kama Diamond platinum , alikiba na Eddy Kenzo Huku kwetu tunawaona wakubwa lakini Bado hawatambuliki. Timebaki kushindana kwenye views na tranding za Youtube, wataki wenzetu wamewekeza kwenye tidal, Spotify na iTunes.
Beyonce kuwatosha Ni dhahiri hawana ushawishi Huku.
View attachment 1155610
Nahisi daimond atakuwepo hapo kwenye and more.Kitendo Cha Beyonce kuzindua Album yake mpya ya Lion King Huku akiwashirikisha wasanii wakali wa Africa Huku akiwatosa wasanii wa East Africa Ni kilelezo tosha kwamba East Africa Bado hatuna International artist wa kweli wenye nguvu.
Wasanii Kama Diamond platinum , alikiba na Eddy Kenzo Huku kwetu tunawaona wakubwa lakini Bado hawatambuliki. Timebaki kushindana kwenye views na tranding za Youtube, wataki wenzetu wamewekeza kwenye tidal, Spotify na iTunes.
Beyonce kuwatosha Ni dhahiri hawana ushawishi Huku.
View attachment 1155610
Bongo fleva ni kwa ajili ya watu ambao hawajitambui i.e wajinga waanaopenda kusikiliza nyimbo zenye vionjo vya matusi tu ,ni aibu kwa kizazi cha sasa aisee yaani hakijitambui hata kidogo ,Acha utani kwenye mambo serious,Beyonce number nyingine.
Baadhi ya hizo streaming services ulizozitaja kuna sehemu hazifanyi kazi kwa ukubwa huo zilio nazo. Kwa mfano Bongo, Ni % ndogo sana wanao stream miziki.Kitendo Cha Beyonce kuzindua Album yake mpya ya Lion King Huku akiwashirikisha wasanii wakali wa Africa Huku akiwatosa wasanii wa East Africa Ni kilelezo tosha kwamba East Africa Bado hatuna International artist wa kweli wenye nguvu.
Wasanii Kama Diamond platinum , alikiba na Eddy Kenzo Huku kwetu tunawaona wakubwa lakini Bado hawatambuliki. Timebaki kushindana kwenye views na tranding za Youtube, wataki wenzetu wamewekeza kwenye tidal, Spotify na iTunes.
Beyonce kuwatosha Ni dhahiri hawana ushawishi Huku.
View attachment 1155610
Huyo Beyonce mwenyewe alikuwa zamani.Cha nyumbani kitamu jamani
Hao Ni wasanii wa East Africa ebu nitajie hata mmoja hapo alieingiza wimbo chart za Billboard