Wasanii wa Kike mna la kujifunza kutoka kwa Rosa Ree

Wasanii wa Kike mna la kujifunza kutoka kwa Rosa Ree

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Katika Hali Ambayo kila mmoja hakutegemea, Rosa Ree Leo ikiwa ni Siku Ya Kina Mama Duniani, Ameamua Kuweka wazi Kuwa Alikuwa Mjazimto na akafanikiwa kujifungua mtoto wake ambaye anamlea hadi sasa.

Dalili zinaonesha Rosa Ree imepita miezi kadhaa tuu Toka Ajigungue mtoto huyo.

Watu wengi sana wamempongeza kwa USIRI MKUBWA alio ufanya kutokea kuwa Mjamzito hadi kuja kujifungua na leo kuamua kuweka wazi.

Ni vyema wasanii wengine wakajifunza namna ya Kutofautisha Maisha Ya Kwenye Mitandao ya Kijamii na Maisha Mengine kama Alivyoweza kufanya Rosa Ree.

Japo hakuna MKATE MGUMU mbele ya Chai, Lakini Rosa Ree ameonesha Kitu cha Utofauti kabisa ambacho anapaswa kupongezwa.
 
Katika Hali Ambayo kila mmoja hakutegemea, Rosa Ree Leo ikiwa ni Siku Ya Kina Mama Duniani, Ameamua Kuweka wazi Kuwa Alikuwa Mjazimto na akafanikiwa kujifungua mtoto wake ambaye anamlea hadi sasa.

Dalili zinaonesha Rosa Ree imepita miezi kadhaa tuu Toka Ajigungue mtoto huyo.

Watu wengi sana wamempongeza kwa USIRI MKUBWA alio ufanya kutokea kuwa Mjamzito hadi kuja kujifungua na leo kuamua kuweka wazi.

Ni vyema wasanii wengine wakajifunza namna ya Kutofautisha Maisha Ya Kwenye Mitandao ya Kijamii na Maisha Mengine kama Alivyoweza kufanya Rosa Ree.

Japo hakuna MKATE MGUMU mbele ya Chai, Lakini Rosa Ree ameonesha Kitu cha Utofauti kabisa ambacho anapaswa kupongezwa.
Angekaa kimya milele hapo ningeelewa.Sasa kapost. Ndo wale wale tu.Sema wanatofautiana tu muda wa kutoa siri zao mitandaoni.
 
Uzuri wa Rosa Ree ni kwamba anapenda kugongwa yaan kwa lugha fupi ni kwamba yeye ni Msanii anayejitanabaisha kama ni MGUMU ( HipHop hardcore) ila hafichi hisia zake za Kike na anaishi maisha ya Kiuanamke.
 
Maisha ya mitandaoni ndo yanawapa ugali wengi wao, sasa wasijipost miezi 9 wale wapi?
 
Wanawake karibia wote wakishika simu wanakuwa na mfanano wa kimawazo.

Utofauti utakuja kwenye kuzidiana tu, ila mostly wana hiyo dhana ya kujirusha mitandaoni kwa kutoa machapisho ambayo yana akisi maisha yao wanayopitia au ku fake.
 
Tukubaliane kajitahidi kuficha aisee kwa celebrity kubeba mimba hadi kujifungua bila kujipost ni wachache mno wanaweza hilo, hongera sana kwake
 
Back
Top Bottom