Zumbe Kimweru
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 340
- 27
Ndugu... Nawapongeza sana kwa uwezo wenu wa kuelewa mambo na kuona mbali ,kwangu mna thamani kuliko fedha na tuzo za BEt au hata Mtv. Mmeonyesha ukomavu wakuitazama jamii na matarajio yake kisiasa 2015.Hongereni sana hiyo ndio maana ya mziki wa hiphop japo kuna wachache wenye elimu nzuri na ukongwe kwenye muziki wanashindwa kutambua.WEUSI,FIDQ, LUNDUNO ,Roma,GODZILLA e t al pongezi kwenu ntaendelea kuwasapoti na kuupenda musiki wa hiphop hapa Tanzania!!!!
Ndugu... Nawapongeza sana kwa uwezo wenu wa kuelewa mambo na kuona mbali ,kwangu mna thamani kuliko fedha na tuzo za BEt au hata Mtv. Mmeonyesha ukomavu wakuitazama jamii na matarajio yake kisiasa 2015.Hongereni sana hiyo ndio maana ya mziki wa hiphop japo kuna wachache wenye elimu nzuri na ukongwe kwenye muziki wanashindwa kutambua.WEUSI,FIDQ, LUNDUNO ,Roma,GODZILLA e t al pongezi kwenu ntaendelea kuwasapoti na kuupenda musiki wa hiphop hapa Tanzania!!!!