Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ni wazo tu, Wasanii wengi wameshatangulia mbele ya haki! Hawa waliobaki wangejiunda wakafanya tamasha la kuwakumbuka/kuwaenzi kwa kazi zao.
Pesa itakayopatikana isaidie familia zenye uhitaji za wasanii au wasanii waliobaki na wenye changamoto za kimaisha kama akina Paulina Zongo, Chid Benzi na wengine.
Wanaweza kufanya tamasha hili kwa mikoa kadhaa, faida ya pili ni kutangaza muziki wao na kuhamasisha utalii wa ndani bila kusubiri kutumiwa na wanaccm msimu wa kampeni.
Pesa itakayopatikana isaidie familia zenye uhitaji za wasanii au wasanii waliobaki na wenye changamoto za kimaisha kama akina Paulina Zongo, Chid Benzi na wengine.
Wanaweza kufanya tamasha hili kwa mikoa kadhaa, faida ya pili ni kutangaza muziki wao na kuhamasisha utalii wa ndani bila kusubiri kutumiwa na wanaccm msimu wa kampeni.