Wasanii wa Tanzania bila Ruge hawawezi

Wasanii wa Tanzania bila Ruge hawawezi

DIZZO MTAWALA

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
240
Reaction score
767
Wasanii wengi watanzania wamejengewa dhana bila "wadau" yaani clouds au RUGE hawewezi kupata air time ya wananchi nimeandika haya baada ya kumsikiliza ruby jana wakati akiomba msamaha kupitia clouds fm lakini kwangu nakumbuka kilichomuondoa yalikuwa ni masilai tena ilikuwa fiesta mwanza na walisitisha kupiga nyimbo zake pia meneja wake akahamia kumsimamia Nandy manake Ruby alishindwa kujisimamia na kushindwa kujibrand so ishu ya nyimbo zake kutopigwa haikuwa na nguvu ya kumshusha maana radio kubwa ziko nyingi sana na sasa kuna social network ambao haina mwenyewe lakini alishindwa.

Nilichogundua wasanii wengi wameaminishwa bila fiesta hawewezi kupata pesa ndo maana ruby ndani ya mwaka bila kushiriki fiesta hali mbaya ndo maana kaamua kupiga magoti kwa wadau. .ndugu yangu TID ana nyimbo kali na Rich mavoco haipigwi clouds basi analalama balaa anaona kama wadau wa mjengoni hawampi nafasi nyimbo yake ni bure

Mwisho ni muda wa sanaaa kurasimishwa rasmi na kuwa hajira rasmi vituo vya radio ,bar kumbi zilipe mrabaha Hii itasaidia kutobebana
 
Hivi katika wasanii wote waliopiga show ya fiesta miaka yote ...kuna msaniii ambaye anaweza kuwa namafanikio kumfikia hata Lady Jaydee. au kumfikia Mh Sugu...wasanii wabongo wao wanachoshindwa nikutengeneza mtaji wa mashabiki wa ukweli...mfano kama ..mashabiki wa Jide yaan mashabiki wa Jide wanamsaport ...mpaka yeye mwenye anapiga Saluti...clouds sio lolote wala chochote ....kama wasanii wanaofanya show za fiesta wangekuwa wanalipwa vizur basi wasingekuwa wanspumulia mipira kama walivyo akina Mr blue/ Man Fongo / na wengine kibao.....
 
Iyo kweli kabisa. Ikowapi Lady Jaydee? Alafu Huyo Ruge anajuwa kuwapanda kama pundaa.
 
Si wenyewe wanasema Ruge ndiyo Mungu wao na ndiyo maana anawala sana mademu (kina Zama) na kuwachanganya humo humo, ukimkatalia tu unasuswa.
 
Back
Top Bottom