Wasanii wa Tanzania hawana uwezo, kinachowafanya wa-survive ni kujipendekeza CCM

Wasanii wa Tanzania hawana uwezo, kinachowafanya wa-survive ni kujipendekeza CCM

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Wasanii wengi, si wa maigizo, si waimba nyimbo - uwezo hawana na hawawezi fikia levo ya waigizaji wa Kinigeria au Ghana na nchi kama South Africa.

Kilichobakia ni kujipendekeza CCM wakiamini wanaweza kuendelea ku-survive. Kwa sasa wanashindana kutoa nyimbo za kusifia Jiwe.

Si kwamba wanapenda kusifia, no, ndiyo njia ya wao kuona wanaweza ku-survive.

Waigizaji kwa sababu hawawezi kuimba, wao wamebakia kukusanywa na wakina Makonda na kulishwa chakula, basi!
 
Wasanii hao unaowatukana mbona wanashinda tuzo za kimataifa? Au hizo tuzo zinatolewa na CCM?

CHUKI HUMFANYA MTU KUWA KIPOFU.
 
Chadema mtawachikia watu kwa mambo yenu ya hovyo mlianza na taasisi za serkali, mkahamia kwa washirika, leo wasanii.

Vyama vyama kipumbavu huhimiza upotovu.

State agent
 
Back
Top Bottom