ha ha ha
shemejiiiiiii
DEMBA nilikua nakutania mpenzi nisamehe bure tuache malumbano
mie Shem wako kwa Evelyn Salt na shemu Dinazarde hapendi migogoro nipo chini ya usuli wako nisamehe kwa jina la yesu
Umekagua sura yangu au nini ntakusemea kwa wifi mie unataka kunichosha,aliekuambia mie mkubwa nani mi bado mdogo we kua kihasara hasara
hujui kinachokaguliwa eenh! hhahaa!! umri tunauweka kwanza, tupa kule!
Wanasiasa ndo hawawezi ficha umri
Sepetu namba 1 kila siku ana miaka 23 mmmh
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: nimecheka ile mbaya...ni kweli kila siku hakui yupo palepale
Mi watu nawashangaa sana umri tu unaficha teh
tena bora ufiche kuliko kujirudisha kama wema
Hili tatizo ni la watanzania wote sio wasanii tuWadau Hailengi Tasnia Fulani, Si Wasanii wa Muziki, sio Bongo movies.
Asilimia kubwa sana hawapendi miaka yao iwe wazi kwa mashabiki wakiwa hai Tunakuja kujua mara Baada Ya kuiaga Dunia
Utasikia ''amefariki akiwa na miaka...'' n.k
Hivi sababu hasa ni nini?
Sepetu namba 1 kila siku ana miaka 23 mmmh