WASANII WA TZ SIO WABUNIFU

WASANII WA TZ SIO WABUNIFU

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Leo nikiwa kwenye daladala nimeshangaa kila ngoma zinazopigwa zipo muelekeo na miondoko ya Nitongoze ya Diamond na Kwani tsh ngapi/ Huna hela ya Vannyboy , inaonekana baada ya izo ngoma kuhit kila msanii sa hivi anataka kutoa ngoma zenye mwelekeo huo , ina maana ubunifu hawana wamebaki kama bendera fuata upepo
 
Ni kweli kabisa, mimi nililiona hilo Kitambo tu. Kama unakumbuka jamaa alivyotoa miondoko ya bolingo na Koffi Olomide tukashuhudia wengine nao wakaanza kupitia humohumo, sijui ndombolo ya solo. Na wengine wakadiliki kuwaleta mpaka malegend wa kikongo kama alivyofanya Diamond.
Lakini wakiamka siku ya pili wanamponda.
 
Umejuaje kama kila msanii anataka kutoa ngoma zenye muelekeo huo wakati hawajatoa
Mjomba ngoma zinaendelea kutolewa na nyingine zimetoka labda kama sio msikilizaji wa bongofleva hautoelewa, na kuna nyimbo nyingi sa hivi wanatoa msanii anaimba alafu watu wanaitikia back vocal
 
Ni kweli kabisa, mimi nililiona hilo Kitambo tu. Kama unakumbuka jamaa alivyotoa miondoko ya bolingo na Koffi Olomide tukashuhudia wengine nao wakaanza kupitia humohumo, sijui ndombolo ya solo. Na wengine wakadiliki kuwaleta mpaka malegend wa kikongo kama alivyofanya Diamond.
Lakini wakiamka siku ya pili wanamponda.
Na kitu kingine ni nyimbo za msanii anaimba halafu back vocal watu wanaitikia zimekuwa kila msanii anatoa , ngoma zifuatazo mfano
Harmonize-mwenyewe,
 
Back
Top Bottom