Tuanzie hapa....
Ngosha Ze Don VS........
Mwana Fa VS.......
Mondi VS......
JB VS.......
Mkuuu we kama ni ME sema tu ukweli, ukae na Mtoto Nandy halafu aachie upenyo utafanya mistake kweli??
Wenzio tunakwambia sasa, ONE MISTAKE 3 GOALS
Na yule miss TANZANIA aliamua kuweka mgomo kuwa haogi sku sita aseeh hii ni aibu kwa taifa....huogi sku sita kisa baridi hata angesema siku 2,siku sita jeeez
Mkuu umeshindwa hata kutulekodia io mivoisi uiwek hapa.....sisi tungeweza kukwambia ilo voisi la mahaba la mondi,ilo voisi zito zito la mpoto na kadhalika
Ili kuweza kuaminika na watu ulichoandika bado hakitoshi nimesoma zote izo nimeona ni hear saying..! Tulia uje tena na hoja za maana ili ukiulizwa uweze ku prove beyond the resonable doubt