Kumbe bado mnatumia condomu?Weka picha au video hata za kondomu basi zilizotumika
Mkuusheria zimewekwa ili zivunjwe cha muhimu kwako tafuta nguvu kuweza kuzivunja na kuendelea, kubak salama. sheria isipovunjwa haina manaHifadhi pia imeonyesha udhaifu kwa kuruhusu chupa za maji za plastic chini ya lita 5 ambazo walishakataa kuingia nazo hifadhini, wageni na waongoza watalii tumekua na maswalI mengi kwa nini sisi tunazuiliwa kuingia nazo hata kama ni Day trip
Ungekuja na vithibitisho ingekuwa bora zaidi.Kama huna taarifa za wasanii waliopanda mlima kilimanjaro kwa mbwembwe na wengine kuishia nusu njia kuelekea kituo cha Mandara kutoka lango la Marangu ni kwamba wenzao waliosonga mbele zaidi wameacha sifa chafu na ya kushangaza.
Wasanii hawa licha ya kugharamiwa kwa kila kitu na serikali wameweka rekodi chafu ndani ya mlima Kilimanjaro kwa kufanya mapenzi bila kujali athari za kiafya lakini kubwa zaidi kushindwa kujiheshimu na kutunza heshima na hadhi waliyopewa na serikali.
Dalili za wasanii hawa kuanza ufuska zilianza kuonekana mapema kwenye kituo cha Horombo pale walipoanza kufakamia pombe kali mbele ya Waziri wa Maliasili na utalii Dkt.Hamis Kigwangala ambaye ameanzisha kampeni ya kupanda mlima kila mwaka ijulikanayo HK Kili Challenge.
Wakiwa kwenye kituo hicho wasanii hawa hawakuwa na hofu yoyte ya kugida pombe kali hadi usiku wa manane licha ya kwamba tararibu za mlima zinakataza matumizi ya po,mbe na sigara kwa wageni na wapagazi na waongazaji wageni.
Mambo yalikuwa mabaya zaidi kwenye vyumba vya kulala kwani zilikuwa zikisikia kelele za mahaba licha ya ukweli kwamba si jambo la kawaida wageni waliopanda mlima ambao si mtu na mke wake kulala banda moja .
Kwa kawaida mabada ya kulala wageni mlima Kilimanjaro yana vitanda kuanzia vinne hadi sita na zaidi kuanzia kituo cha Mandara,Horombo na Kibo lakini wasanii hawa waliamua kujichanganya wa kike na wa kiume na kufanya mapenzi ya wazi bila kujali wako wapi .
Hawa ndiyo waliopewa hadhi na serikali kutangaza vivutio vyetu ukiwamo mlima kilimanjaro ambao kwa sasa watanzania tupo katika Kampeni kubwa ya kupigia kura mlima wetu ili uingizwe kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya vivutio bora duniani.
Endeleeni kunywa mtori nyama ziko chini
Hoja ni nini hapa....au walifanya kinyume na maumbileKama huna taarifa za wasanii waliopanda mlima kilimanjaro kwa mbwembwe na wengine kuishia nusu njia kuelekea kituo cha Mandara kutoka lango la Marangu ni kwamba wenzao waliosonga mbele zaidi wameacha sifa chafu na ya kushangaza.
Wasanii hawa licha ya kugharamiwa kwa kila kitu na serikali wameweka rekodi chafu ndani ya mlima Kilimanjaro kwa kufanya mapenzi bila kujali athari za kiafya lakini kubwa zaidi kushindwa kujiheshimu na kutunza heshima na hadhi waliyopewa na serikali.
Dalili za wasanii hawa kuanza ufuska zilianza kuonekana mapema kwenye kituo cha Horombo pale walipoanza kufakamia pombe kali mbele ya Waziri wa Maliasili na utalii Dkt.Hamis Kigwangala ambaye ameanzisha kampeni ya kupanda mlima kila mwaka ijulikanayo HK Kili Challenge.
Wakiwa kwenye kituo hicho wasanii hawa hawakuwa na hofu yoyte ya kugida pombe kali hadi usiku wa manane licha ya kwamba tararibu za mlima zinakataza matumizi ya po,mbe na sigara kwa wageni na wapagazi na waongazaji wageni.
Mambo yalikuwa mabaya zaidi kwenye vyumba vya kulala kwani zilikuwa zikisikia kelele za mahaba licha ya ukweli kwamba si jambo la kawaida wageni waliopanda mlima ambao si mtu na mke wake kulala banda moja .
Kwa kawaida mabada ya kulala wageni mlima Kilimanjaro yana vitanda kuanzia vinne hadi sita na zaidi kuanzia kituo cha Mandara,Horombo na Kibo lakini wasanii hawa waliamua kujichanganya wa kike na wa kiume na kufanya mapenzi ya wazi bila kujali wako wapi .
Hawa ndiyo waliopewa hadhi na serikali kutangaza vivutio vyetu ukiwamo mlima kilimanjaro ambao kwa sasa watanzania tupo katika Kampeni kubwa ya kupigia kura mlima wetu ili uingizwe kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya vivutio bora duniani.
Endeleeni kunywa mtori nyama ziko chini
Maajabu! Miaka tuliyopanda mlima Kilimanjaro kufika Horombo ni tabu kwa sababu ya baridi!! wakati wa kulala unalala juu ya kitanda ndani ya Sleeping Bag linalokutosha mwenyewe. vinginevyo utapata numonia. Sleeping Bag Couple wanaenea?Kama huna taarifa za wasanii waliopanda mlima kilimanjaro kwa mbwembwe na wengine kuishia nusu njia kuelekea kituo cha Mandara kutoka lango la Marangu ni kwamba wenzao waliosonga mbele zaidi wameacha sifa chafu na ya kushangaza.
Wasanii hawa licha ya kugharamiwa kwa kila kitu na serikali wameweka rekodi chafu ndani ya mlima Kilimanjaro kwa kufanya mapenzi bila kujali athari za kiafya lakini kubwa zaidi kushindwa kujiheshimu na kutunza heshima na hadhi waliyopewa na serikali.
Dalili za wasanii hawa kuanza ufuska zilianza kuonekana mapema kwenye kituo cha Horombo pale walipoanza kufakamia pombe kali mbele ya Waziri wa Maliasili na utalii Dkt.Hamis Kigwangala ambaye ameanzisha kampeni ya kupanda mlima kila mwaka ijulikanayo HK Kili Challenge.
Wakiwa kwenye kituo hicho wasanii hawa hawakuwa na hofu yoyte ya kugida pombe kali hadi usiku wa manane licha ya kwamba tararibu za mlima zinakataza matumizi ya po,mbe na sigara kwa wageni na wapagazi na waongazaji wageni.
Mambo yalikuwa mabaya zaidi kwenye vyumba vya kulala kwani zilikuwa zikisikia kelele za mahaba licha ya ukweli kwamba si jambo la kawaida wageni waliopanda mlima ambao si mtu na mke wake kulala banda moja .
Kwa kawaida mabada ya kulala wageni mlima Kilimanjaro yana vitanda kuanzia vinne hadi sita na zaidi kuanzia kituo cha Mandara,Horombo na Kibo lakini wasanii hawa waliamua kujichanganya wa kike na wa kiume na kufanya mapenzi ya wazi bila kujali wako wapi .
Hawa ndiyo waliopewa hadhi na serikali kutangaza vivutio vyetu ukiwamo mlima kilimanjaro ambao kwa sasa watanzania tupo katika Kampeni kubwa ya kupigia kura mlima wetu ili uingizwe kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya vivutio bora duniani.
Endeleeni kunywa mtori nyama ziko chini
hii Chai hii tena kavuKama huna taarifa za wasanii waliopanda mlima kilimanjaro kwa mbwembwe na wengine kuishia nusu njia kuelekea kituo cha Mandara kutoka lango la Marangu ni kwamba wenzao waliosonga mbele zaidi wameacha sifa chafu na ya kushangaza.
Wasanii hawa licha ya kugharamiwa kwa kila kitu na serikali wameweka rekodi chafu ndani ya mlima Kilimanjaro kwa kufanya mapenzi bila kujali athari za kiafya lakini kubwa zaidi kushindwa kujiheshimu na kutunza heshima na hadhi waliyopewa na serikali.
Dalili za wasanii hawa kuanza ufuska zilianza kuonekana mapema kwenye kituo cha Horombo pale walipoanza kufakamia pombe kali mbele ya Waziri wa Maliasili na utalii Dkt.Hamis Kigwangala ambaye ameanzisha kampeni ya kupanda mlima kila mwaka ijulikanayo HK Kili Challenge.
Wakiwa kwenye kituo hicho wasanii hawa hawakuwa na hofu yoyte ya kugida pombe kali hadi usiku wa manane licha ya kwamba tararibu za mlima zinakataza matumizi ya po,mbe na sigara kwa wageni na wapagazi na waongazaji wageni.
Mambo yalikuwa mabaya zaidi kwenye vyumba vya kulala kwani zilikuwa zikisikia kelele za mahaba licha ya ukweli kwamba si jambo la kawaida wageni waliopanda mlima ambao si mtu na mke wake kulala banda moja .
Kwa kawaida mabada ya kulala wageni mlima Kilimanjaro yana vitanda kuanzia vinne hadi sita na zaidi kuanzia kituo cha Mandara,Horombo na Kibo lakini wasanii hawa waliamua kujichanganya wa kike na wa kiume na kufanya mapenzi ya wazi bila kujali wako wapi .
Hawa ndiyo waliopewa hadhi na serikali kutangaza vivutio vyetu ukiwamo mlima kilimanjaro ambao kwa sasa watanzania tupo katika Kampeni kubwa ya kupigia kura mlima wetu ili uingizwe kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya vivutio bora duniani.
Endeleeni kunywa mtori nyama ziko chini
Kawaida