Wasanii wala unga

.....Mr Nice yeye sio mhanga?..
1.Dudubaya ...bange
2.Afande...bange
3.Twenty 20%...bang
....NK...
 
Ulisikitika akiwa sober (bila ulevi)
Sijui unafanya makusudi au unataka ligi OK anyway nilichomaanisha ni kwamba nilikuwa sijui kwamba ni mtumiaji na muathirika wa madawa ya kulevya kiasi cha kupelekea kupelekwa soba na Mara nyingi msanii akishajiingiza huku ubora wake hupotea na kwa bahati mbaya huyu jamaa hakukaa huko muda unaotakiwa aliondoka mapema nilimsikia msimamizi wa hiyo soba ya kigamboni akihojiwa na ukumbuke addict ya madawa ya kulevya huwa ni ngumu kutoka; hiko ndicho nilichomaanisha nadhani umenielewa
 
kumbe Juma nature hayumo na wale wa singeli mbona ni kama wote tu
 
Pale panapojaaga maji, yaani kwa mheshimiwa njima, wote wanabwia, sema tu siku hizi hawaendi Uturuku. Vyurani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…