Wasanii walia na tozo wanazotoa ku-shoot kwenye vivutio vya taifa

Tanzania ni ya pili katika Afrika kwa kutoza kiwango cha bei juu kwenye vituo vya utalii. Inayoongoza Seychelles kama sikosei. Kwahiyo wao tu, hata watalii wanalalaka sana kuhusu hilo swala. Na si watalii wote wanakwenda huko, wengine hawawezi kulipia kwahiyo wanaishia kuzurura tu kisha wanarudi kwao.
Bei za juu zimewekwa kwa makusudi kwa ajili ya kupunguza msongamano ili kulinda mazingira. If everyone could afford to go to Serengeti basi sasa hivi lingekuwa jangwa.
 
Kisingizio Cha kulinda mazingira Ni ushamba, TANAPA waweke bajeti ya mazingira yao
 
Aisee kwa hiyo hizo Mbuga za SA,Botswana,Zambia na Malawi zishakua Jangwa tayari maana wanatoza hela za kawaida sana..mawazo ya Kitanzania hayo sikushangai kabisa mkuu..
 
Wakati wa kampeni mnatumika kama toilet paper. Huu nao ni ubatili mtupu.
 
Kisingizio Cha kulinda mazingira Ni ushamba, TANAPA waweke bajeti ya mazingira yao

Aisee kwa hiyo hizo Mbuga za SA,Botswana,Zambia na Malawi zishakua Jangwa tayari maana wanatoza hela za kawaida sana..mawazo ya Kitanzania hayo sikushangai kabisa mkuu..

Bei ya juu, unapokea watalii wachache na bila watu kujazana kama ungeweka bei chee.
Kama umeshafika mbugani hivi karibuni ungeona jinsi mazingira yalivobadilika. Nilikwenda Mikumi 2022, jinsi kulivyo ni tofauti na mia 15 iliyopita.
 
Sio ushamba tu ni Ujinga maana unakuta mgeni anakwambia kabisa mimi siji huko gharama ni kubwa bora niende Livingstone ntaona waterfalls na wanyama kwa gharama ndogo sana..

Kwanza kabisa, kuna nia na makusudi kabisa, hata kama hawatangazi hadharani, ya kupunguza visitors Africa.
Wageni kwenye bara la Africa wanatia demage zaidi ya faida inayopatikana.
Wengi sana na asilimia kubwa miongoni mwao hawana faida yoyote. Inatakiwa watu wa kutoka huko kama hana biashara maalu ya kueleweka, akae huko huko kwao.
 
Sasa hivi mnalia lia! Ila zikija kampeni za ccm ndiyo mnakuwa mstari wa mbele kuwaghiribu wananchi kutokana na ushawishi wenu. Pambaneni na hali yenu, wapuuzi wakubwa.
 
Nashauri tozo iongezwe, mbona huko South huwa wanaenda kurekodi kwa bei kubwa, hela wanayo nchi itajengwaje ikiwa hawataki kuchangia wawe wazalendo waache kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…