Wasanii walioathiriwa na Diamond

Wasanii walioathiriwa na Diamond

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,668
Hawa ni baadhi ya wasanii ambao kwa mtazamo wangu wana bahati mbaya kwa kuvuma kipindi ambacho anavuma Diamond,i mean isingekuwa uwepo wake kwenye game kwa wakati huu wangepata attention/tuzo nyingi but uwepo wa jamaa umekuwa tatizo kwao coz akili za watanzania wengi kwa miaka hii zimetekwa na Diamond kwa either mziki wake or habari zake, (mfano hai humu JF kwenye hili jukwaa utakuta thread nyingi kadominate yeye).Ni kama kwenye kabumbu kuna kamsemo,'Asingekuwepo Messi tuzo zote za uchezaji bora angekuwa anazichukua Ronaldo'.Kwa vipaji na ukali wa nyimbo zao hawa nahisi wangekuwa mbali zaid ya walipo sasa (kwenye kivuli cha Diamond);

1. Belle9
2. Rich Mavoco
3. Barnaba
4. Ben Pol
5. Linex
 
Mtizamo wako tu,belle9 na sumu ya penzi mbona ilibamba sana sema jamaa hajakaza ngoma ya pili ndio maana haku-takeover.
 
Cha msingi ni kukaza tu,Diamond ngoma yake aliyoitoa na Mabovu na Ngwair(rip) Jisachi kabla mfuko haujatoboka full msimbazi kama adili wa choka haikukamata mpaka alivyotoa Kamwambie ikabamba hajakaa sawa akatoa Mbagala ikabamba zaidi na jamaa akawa anatumia teqnik ya kutafuta kiki kwenye media ndio akazidi kuchana.
 
Mtizamo wako tu,belle9 na sumu ya penzi mbona ilibamba sana sema jamaa hajakaza ngoma ya pili ndio maana haku-takeover.

Belle wimbo wake wapili ni masogange,mbona ilikuwa kali tu.Na ametoa ngoma nyingi tu kali baada ya hapo but still raia wanazichukulia kawaida, mfano hizi alizoachia hivi karibun 'Listen' na 'Wanitaka' zote kali
 
Belle wimbo wake wapili ni masogange,mbona ilikuwa kali tu.Na ametoa ngoma nyingi tu kali baada ya hapo but still raia wanazichukulia kawaida, mfano hizi alizoachia hivi karibun 'Listen' na 'Wanitaka' zote kali

wamwombe diamond awapeleke kwa mganga wake
 
Management ni tatizo kwa hao wasanii wengine ..msanii ukiwa underpowerful management e.g diamond under ruge plus talle ni kitu kingine.
Na pia kuhatarisha soko la ndomo kunaweza kukamfanya msanii afanyiwe hujuma kistrategy ..
 
Cha msingi ni kukaza tu,Diamond ngoma yake aliyoitoa na Mabovu na Ngwair(rip) Jisachi kabla mfuko haujatoboka full msimbazi kama adili wa choka haikukamata mpaka alivyotoa Kamwambie ikabamba hajakaa sawa akatoa Mbagala ikabamba zaidi na jamaa akawa anatumia teqnik ya kutafuta kiki kwenye media ndio akazidi kuchana.

Ujue dogo hata akiamua kuchana Kuna artists wengi tu wamichano watakaa. Maana Jisachi nayo alinata vizuri tu.
 
uyo marrow ni yupi...?

Mwe Marlow had watu wana kusahau aisee, wakati una kitu kikubwa sana.

Intafact Huyu jamaa ndo aliemtoa Tudd Thomas ,producer anaetamba saiv kwa vibao vikali vinavyotoboa ktk anga la international market. Lakin yeye Marlow mwenyewe pamoja na kuwa ana uwezo mkubwa sana yupo yupo tu.
 
Back
Top Bottom