kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Hawa ni baadhi ya wasanii ambao kwa mtazamo wangu wana bahati mbaya kwa kuvuma kipindi ambacho anavuma Diamond,i mean isingekuwa uwepo wake kwenye game kwa wakati huu wangepata attention/tuzo nyingi but uwepo wa jamaa umekuwa tatizo kwao coz akili za watanzania wengi kwa miaka hii zimetekwa na Diamond kwa either mziki wake or habari zake, (mfano hai humu JF kwenye hili jukwaa utakuta thread nyingi kadominate yeye).Ni kama kwenye kabumbu kuna kamsemo,'Asingekuwepo Messi tuzo zote za uchezaji bora angekuwa anazichukua Ronaldo'.Kwa vipaji na ukali wa nyimbo zao hawa nahisi wangekuwa mbali zaid ya walipo sasa (kwenye kivuli cha Diamond);
1. Belle9
2. Rich Mavoco
3. Barnaba
4. Ben Pol
5. Linex
1. Belle9
2. Rich Mavoco
3. Barnaba
4. Ben Pol
5. Linex