Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Kukusanya data mtaani na platform mbalimbaliTueleze umetumia njia gani katika utafiti wako?
Chawa huyoBila H baba hii list ni batili
SawaTakataka
Labda namba 11Jaivah hayupo ?
Na yammi tena kafanya vizuri si mbayaUje na uzi wa wasanii walioibuka 2024 na wakafanya vizuri sana.
Loui asikose.
Alafu hata chino kafanya vizuri tu.
Mkuu Loui hajaibuka 2024Uje na uzi wa wasanii walioibuka 2024 na wakafanya vizuri sana.
Loui asikose.
Alafu hata chino kafanya vizuri tu.
Je wamejenga hata chumba kimoja cha Darasa?1. Diamond platnumz
2. Marioo
3. Zuchu
4. Jay melody
5. Ali kiba
6. Mboso
7. Harmonize
8. Bilnass
9. Nandy
10. Lavalava
Utafiti nimeufanya tangu january.
Mkuu Loui hajaibuka 2024
Mzee 2022 alitoa Hennessy akabeba hadi tuzo South Africa, ni basi tu watu hawamzingatii sana kijanaIla 2024 nahisi amekuwa mkubwa kuliko huko nyuma
Ni kazi ya serikali kujenga miundo mbinu ya wanachiJe wamejenga hata chumba kimoja cha Darasa?
Nami sijuiHivi Lavalava ndiyo yule muimba kaswida wa wasafi ?
Dj mushizo au sioSicheki na wowote-Ndio msanii wangu bora huyo.