mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Mbona wakina Bi Chau, Zembwela tunakutana nao?
Ukiwa msaniii au celebrity yoyote halafu ujichanganye na watu basi ndio mwanzo wa kifo chako kisaniii. Haiwezekani msanii nakutana naye Kariakoo kila siku halafu kesho atangaze tamasha niwe na hamasa ya kwenda.
Msanii anatakiwa aishi maisha tofauti asizoeleke kabisa.
Uwa Najiuliza sana mzee.Hivi kweli msanii wa Tanzania anakosa kuwa hata na millioni 6 achukue used car azugie town..these people are not serious at all
Point kabisa ila sasa wanapoishiwa usanii, au mambo yao kubuma kwa nini hawajitune tena kurudi awaliMaana ya kuwa msanii ni kila mtu atamani kuwa na maisha yako
Mfano mzuri ni huyo Diamond, alijitofautisha ili kuwa msanii mkubwa ni kutembea na wanawake wote wazuri ambao kila mtu anawatamani, na kwa kuwa maana ya msanii ni kuwa na maisha ambayo kila mtu anataman basi jina lake likawa kubwaa saana
Hao akina majuto zembwera nk, ni watu wanaosikika kama wasanii ila hawaishi kisanii, ata nyota yao ni tofaut kidogo, ni wale ambao unaweza kukuta wanabishana na makondacta au wauza duka
Inshot ni kuna wasanii ambao hawaishi kisanii na kuna wasanii wanaolazimisha kuishi kisanii, sasa wale wanaolazimisha kuishi kisanii wanajitaEtmbua level waliopo ila hawana hella ya knuwawezesha kuishi level ya kisanii, apo ndo gurudumu lililojazwa maji
Zembwela na bi chau wamewahi kuita tamasha ?Mbona wakina Bi chau, Zembwela tunakutana nao?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] pasha ndo zakeWengi wana madeni kwa madreva wa bodaboda, wengine safari zao hutoka usiku huku wamejifunika kofia mfano PASHA.
Serikali iwaonee huruma wawatengenezee mfumo wa kulinda kazi zao, ili wanufaike na kipato chao.
Dah kuwa msanii n kazi ya ziadaUkiwa msaniii au celebrity yoyote halafu ujichanganye na watu basi ndio mwanzo wa kifo chako kisaniii. Haiwezekani msanii nakutana naye Kariakoo kila siku halafu kesho atangaze tamasha niwe na hamasa ya kwenda.
Msanii anatakiwa aishi maisha tofauti asizoeleke kabisa.
Hivi kweli msanii wa Tanzania anakosa kuwa hata na millioni 6 achukue used car azugie town..these people are not serious at all
Kuna msanii mmoja namfahamu yeye gari anayo ila hela ya mafuta hana. Gari anaiacha kwao maana bado anaishi kwao alijitangazia ana nyumba kumbe hata kiwanja hanaUwa Najiuliza sana mzee.
Kuna msanii mmoja namfahamu yeye gari anayo ila hela ya mafuta hana. Gari anaiacha kwao maana bado anaishi kwao alijitangazia ana nyumba kumbe hata kiwanja hana
Wewe sio mzima inabidi upewe transfer milembe kwa uangalizi maalumu