davie dee JF-Expert Member Joined May 17, 2015 Posts 934 Reaction score 1,213 Nov 27, 2019 #21 Ni beka fleva kama sikosei anadaiwa na dereva wa uber elf 27 tu jamaa anamkwepa knoma wasanii wetu kumbe mifukoni empty
Ni beka fleva kama sikosei anadaiwa na dereva wa uber elf 27 tu jamaa anamkwepa knoma wasanii wetu kumbe mifukoni empty
Hazard CFC JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 16,627 Reaction score 38,689 Nov 27, 2019 #22 Ndio maana unatakiwa wamweshimu sana diamond na sio kumchukia...awaonyeshe njia david steve said: Ni beka fleva kama sikosei anadaiwa na dereva wa uber elf 27 tu jamaa anamkwepa knoma wasanii wetu kumbe mifukoni empty Click to expand...
Ndio maana unatakiwa wamweshimu sana diamond na sio kumchukia...awaonyeshe njia david steve said: Ni beka fleva kama sikosei anadaiwa na dereva wa uber elf 27 tu jamaa anamkwepa knoma wasanii wetu kumbe mifukoni empty Click to expand...
Zabron Hamis JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 7,093 Reaction score 11,377 Nov 27, 2019 #23 Nimesikitika sana kwahiki nilichosoma. Mungu akusaidie angalau msongo wa mawazo ukutoke, sio bure unaonekana una hasira kupitiliza Cc daren gold
Nimesikitika sana kwahiki nilichosoma. Mungu akusaidie angalau msongo wa mawazo ukutoke, sio bure unaonekana una hasira kupitiliza Cc daren gold
Watery JF-Expert Member Joined Jul 24, 2018 Posts 2,718 Reaction score 3,471 Nov 28, 2019 #24 mgt software said: Point kabisa ila sasa wanapoishiwa usanii, au mambo yao kubuma kwa nini hawajitune tena kurudi awali Click to expand... Wanaweza ila wanajua hasara yake
mgt software said: Point kabisa ila sasa wanapoishiwa usanii, au mambo yao kubuma kwa nini hawajitune tena kurudi awali Click to expand... Wanaweza ila wanajua hasara yake
S Smiling killer JF-Expert Member Joined May 1, 2018 Posts 1,290 Reaction score 1,123 Nov 28, 2019 #25 asilimia kubwa ya wasanii bongo ni "chawa"