Wasanii waliovuma lakini wakashindwa kutengeneza pesa

Hata muheshimiwa Jokate nasikia bado anakaa kwao

Inawezekana ni maamuzi sio kama hana uwezo wa kutoka nyumbani
Hiv huyu mh Bado hakuna kidume alietangaza ndoa pale
 
Huyo ni wa kike sio mbaya sana, nadhani kwa sasa yuko kwenye government quarters!

Wa kike ndo anatakiwa kuwa na kwake Mkuu kulikoni ata TID,Mana yeye anapewa tu na akitoa anayeoaw akinogewa mabadilishano anampangia chumba ili apewa kwa Uhuru....hutaki poa
 
Hata muheshimiwa Jokate nasikia bado anakaa kwao

Inawezekana ni maamuzi sio kama hana uwezo wa kutoka nyumbani
Kuna wazazi huwa hawakubali mtoto wa kike atoke nyumbani na kuenda kuishi kivyake kama hajaolewa regardless ana uwezo kiasi gani labda tu awe anafanya kazi mbali na makazi ya wazazi wake, so usimfananishe TID na Jokate.

TID is just another joke,nimenza kumsikia nikiwa form two in early 2000's,leo nina mke na watoto wawili nikiwa na miaka kumi toka nisepe home rasmi lenyewe bado linakaa kwao na mama yake.
 
Hata muheshimiwa Jokate nasikia bado anakaa kwao

Inawezekana ni maamuzi sio kama hana uwezo wa kutoka nyumbani
Nshakushtukia we ni TID nshajua nshajua!
 
Mbona mr.nice ana mpunga tena krefu au watu wanamuongelea mr.nice yupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…