Wasanii wanaoigiza sauti za watu au kubadili sauti zao wanaboa,

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Wasanii wanaobadili sauti zao na kuongea kama watu maarufu mi wananiboa,naona kama hawapo funny,kama Steve Nyerere yaani naona kama katuni akiigiza sauti ya mwalimu,Kwenye Movie za King Majuto kuna kijana anaitwa Zumbekuku,,kwenye movie nyingine ya King Majuto anaitwa Chilisosi,aisee sauti yake nyembamba ananiboa sijui ni sauti yake halisi au anaigiza tu,Masanja MKandamizaji kidogo akiigizaga style ya mtu na kuongea kidogo naona yupo funny,sasa hawa mimicry wengine wanaboa sijui mimi tu,
Mfano Asenga sijui ni sauti yake halisi ila naona anafurahisha pia,Chapombe naye ni kawaida kwangu,Bambo pia namwona funny.


Aisee comedy kama za kuongea sauti zakubana kama Zumbekuku kwangu inaniboa huwa nikiangalia onl.ne au cd basi namaliza tu kuangalia maana najua King majuto yupo.


Sijui nye mnawaonaje hawa waigiza sauti za wengine
 
kumchekesha mtu mpaka acheke ni kazi so wengine kwa kuwa kipaji cha kuchekesha hana huamua kuigiza sauti za wengine hata mimi baadhi yao huwa wananiboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…