Wasanii wanaojieleza vizuri kwenye interview hawa

acha chuki binafsi ndugu
ina mana wenye elimu tu ndo wanaongea vizuri?
unataka kuniambia hata mababu zako hawakuongea vizuri sababu hawana elimu?
hajitambui hyu
 
acha chuki binafsi ndugu
ina mana wenye elimu tu ndo wanaongea vizuri?
unataka kuniambia hata mababu zako hawakuongea vizuri sababu hawana elimu?
Acha kukurupuka ww vp ujanisoma..
Jamaa kasema Diamond anaongea vzr kwenye interviews, darasa angepata elimu angeongea vzr ndio nikamuuliza kwani Diamond ad anaongea vzr anaelimu gani?
 
Ukweli mtupu Mkuu....kama tu amejifunza kiingereza kwa kuunga unga na akawa mahiri kuliko Waalimu wake ni dalili tosha kuwa kijana ni genius.
nmekosea kutag sorry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…