wasanii wanatuhadaa na picha zenye alama ya freemason

mhh....watarudisha pesa zetu wasipochapana
 
Wema na wolper ni mamaneger wa watakao pigana.

Kama ilivyo kawaida mamaneger uongea sana kuliko wapiganaji.
 
Kung'ata hakuna wala kupigana kwenye nyonyo
 
Nani kapigwa WEMA vs WOLPER?
Wakuu tupeni updates,
Tuwekeeni picha kama mnazo,
 
Kabisa hapo ushasema,dili zao kibao hawa.Ukweli usemwe kama show hamna atari lakini kama mengineyo bwana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…