Wasanii wasiwasahau maprodyuza hawa

Wasanii wasiwasahau maprodyuza hawa

kichwa kubwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
268
Reaction score
214
salaam sana.naomba niwataje wasanii wa muziki (hususan bongo fleva) ambao naamin hawastahili kuwasahau kwa vyovyote vile watayarishaji wa muziki(producers) kwakua wametoka nao mbali
1.Ali kiba-KGT
2.Diamond-bob junior
3.bele 9-triss/monagangster
4.madee-marco chali
5.Rosa ree-nahreel
6.chemical-maxmizer
7.rich mavoko-c9
8.nay wa mitego-mazuu
9.jambo squad-DX
10.wasanii wa THT-emma the boy

Naishia hapa na wewe unaweza kuongeza wengine
 
kwenye mbagala.. bob juniour alimpatia sana diamond..

mwishoni bob juniour akanogesha na vimaneno vyake na kilio...
 
sallam, babu tale, mkubwa fella wote wamekomaa na kumfanya diamond amsahau jamaa aliemrekodia bure ili atoke kimuziki baada ya diamond kutoswa tht na studio zingine kisa hana hela ya kulipa

haha sasa wametajirika na huyu bob j yuwapi siku hizi?
 
roho
sallam, babu tale, mkubwa fella wote wamekomaa na kumfanya diamond amsahau jamaa aliemrekodia bure ili atoke kimuziki baada ya diamond kutoswa tht na studio zingine kisa hana hela ya kulipa
mbaya hiyoo huyu ndo amemondoa tandale mpaka madale tena bureeeee amkumbuke aisee hawa waliokuja juzi kati magumash tu hawana lolote
 


Naona Mr. Touch amenza kuimba.
 
Back
Top Bottom