Makau Js
Member
- May 25, 2017
- 93
- 233
Tanzania ukiwatizama mastaa wetu [Celebrities] unagundua wengi wana vipaji vikubwa sana ila wamekosa maarifa na adabu ya utashi .
Mastaa wetu wanawekeza zaidi kwenye muonekano na kutengeneza headlines na ndio maana kazi zai hazidumu kwa muda mrefu sababu ya kukosa ubunifu,na maarifa.
Ukiingia kwenye social media za mastaa wetu wa Bongo utakuta swagger nyingi kuliko maarifa na ubunifu wao .
Mwananchi unakuwa unatumia muda mwingi wa kuwatoa kasoro mastaa wetu badala ya kujifunza toka kwao hii yote inatokana na uhaba wa maarifa na elimu yenye tija.Wengi wanaiga ndoa za akina Jay-Z na Beyonce badala ya kutengeneza ndoa zao nzuri nasi tuige za kwao ,wanafake maisha na wanafake na kazi zao.
Tuwekeze kwenye maarifa n ubunifu na sio kuwekeza kwenye swagger na mavazi
Mastaa wetu wanawekeza zaidi kwenye muonekano na kutengeneza headlines na ndio maana kazi zai hazidumu kwa muda mrefu sababu ya kukosa ubunifu,na maarifa.
Ukiingia kwenye social media za mastaa wetu wa Bongo utakuta swagger nyingi kuliko maarifa na ubunifu wao .
Mwananchi unakuwa unatumia muda mwingi wa kuwatoa kasoro mastaa wetu badala ya kujifunza toka kwao hii yote inatokana na uhaba wa maarifa na elimu yenye tija.Wengi wanaiga ndoa za akina Jay-Z na Beyonce badala ya kutengeneza ndoa zao nzuri nasi tuige za kwao ,wanafake maisha na wanafake na kazi zao.
Tuwekeze kwenye maarifa n ubunifu na sio kuwekeza kwenye swagger na mavazi