Wasanii wetu bwana: Kuongeza sifuri tu!

Wasanii wetu bwana: Kuongeza sifuri tu!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
IMG_0688.jpeg
 
Ingawa sio mfatiliaji sana, ila jana niliona hiyo video ya Diamond na Baba Levo mahali,
Na hajasema ananunua cybatruck ya 2B, ila Ataileta hiyo gari yake kutoka Marekani ambayo ipo na imenunuliwa na ndugu yake wa huko kama sijakosea.

Nafikiri Media ndo zinashida kuliko wasanii wetu.
 
Ingawa sio mfatiliaji sana, ila jana niliona hiyo video ya Diamond na Baba Levo mahali,
Na hajasema ananunua cybatruck ya 2B, ila Ataileta hiyo gari yake kutoka Marekani ambayo ipo na imenunuliwa na ndugu yake wa huko kama sijakosea.

Nafikiri Media ndo zinashida kuliko wasanii wetu.

I thought so too. Nani kawahi kuisikia hiyo channel before?
 
Back
Top Bottom