Wasanii wetu bwana! una act maskini alafu nywele umeweka wave

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,255
Mtu ukimwambia uwezo wetu wa kuigiza movie bado ni mdogo atakubishia mpaka kunakucha.

Kuna movie nyingi za kibongo bado hazikizi viwango, unakuta mtu ana act ni maskini lakini ukimwangalia amevaa kitajiri, nywele kaweka wave, shati jipya lakini limechanwa tu hata suluari.

Kiukweli wabongo kuact bado toka amekufa Kanumba hakuna movie yeyote iliyobamba kwani aliweza kuigiza kiuhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…