ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Msanii anapofikiria kwa Kiswahili ili kuongea Kiingereza
Jameni..Jameniee, pengine tunahitaji kulazimisha tu kutumia lugha yetu ya kiswahili kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa mengine. Wasanii wa Kitanzania walio wengi wanafanya vizuri lakini pale inapokuwa kwa suala la lugha. hususani hii inayoitwa lugha ya "biashara na ya Kimataifa" ya Kiingereza...mh, .tabu tupu na pengine labda ndo inatukosesha biashara au kutambulika katika kazi zetu za mikono na akili zetu kama si kututia aibu kwa mataifa mengine na kuonekana tuna babaisha kwenye mambo yale tunayosema tunayajua kisa tu ni kushindwa kujieleza ipasavyo kwa lugha ya kigeni....
Ebu sikiliza huyu Msanii wa Uchora na Uchongaji ( Heindrick Lilanga), mjukuu wa Hayati George Lilanga, anavyoumiza akili kutafuta maneno ya kuchomeka katika mawasiliano iliaweze tu kueleweka kwa muthungu na kushindwa kuweleza mthungu moja kwa moja kuwa "yeye hajui kiingereza ili mthungu amtafute mkarimani wa kutafsiri mahojiano yao!"..
Ni kama yale yale ya BBA ya "mzee wa ZE WORLD" (S.K).
Yu siiiiiii.....
Pata Habari kamili kuhusu utata wa umiliki asilia wa kazi za sanaaa za Marehemu George Lilanga hapa
http://www.lilanga.org/lilanga_artists.html
Jameni..Jameniee, pengine tunahitaji kulazimisha tu kutumia lugha yetu ya kiswahili kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa mengine. Wasanii wa Kitanzania walio wengi wanafanya vizuri lakini pale inapokuwa kwa suala la lugha. hususani hii inayoitwa lugha ya "biashara na ya Kimataifa" ya Kiingereza...mh, .tabu tupu na pengine labda ndo inatukosesha biashara au kutambulika katika kazi zetu za mikono na akili zetu kama si kututia aibu kwa mataifa mengine na kuonekana tuna babaisha kwenye mambo yale tunayosema tunayajua kisa tu ni kushindwa kujieleza ipasavyo kwa lugha ya kigeni....
Ebu sikiliza huyu Msanii wa Uchora na Uchongaji ( Heindrick Lilanga), mjukuu wa Hayati George Lilanga, anavyoumiza akili kutafuta maneno ya kuchomeka katika mawasiliano iliaweze tu kueleweka kwa muthungu na kushindwa kuweleza mthungu moja kwa moja kuwa "yeye hajui kiingereza ili mthungu amtafute mkarimani wa kutafsiri mahojiano yao!"..
Ni kama yale yale ya BBA ya "mzee wa ZE WORLD" (S.K).
Yu siiiiiii.....
Pata Habari kamili kuhusu utata wa umiliki asilia wa kazi za sanaaa za Marehemu George Lilanga hapa
http://www.lilanga.org/lilanga_artists.html
Last edited by a moderator: