sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Nani kasema??
Nani kasema??
Mpk nisikie kwa maskio yangu ndo ntaaminAmri imetoka kwenye management, i know this is exclusive to you!
Kwan clouds wana hatimiliki ya wasanii wote,?
Hahahaha sawa tomasoMpk nisikie kwa maskio yangu ndo ntaamin
Naamin Kusaga hana maamuzi yakijinga hivi ange kuepo Ruge ningeelewa
SAWA WAMEZIPATAHabari zilizonifia hivi punde ni kwamba wasanii wote walioshiriki kwenye tamasha la Wasafi awatopigwa nyimbo zao clouds media, hiyo order imetolewa kwa waendesha vipindi vyote mjengoni.
Adhabu hiyo ina lengo la kuwa-discipline wasanii kutoshiriki matamasha tofauti na yanayoendeshwa na clouds.
Ok nakupa homework ndani ya miezi hii miwili ukisikia nyimbo za msanii yoyote aliyeimba kwenye wasafi njoo unisute.Mpk nisikie kwa maskio yangu ndo ntaamin
Naamin Kusaga hana maamuzi yakijinga hivi ange kuepo Ruge ningeelewa
Kwani ni lazima zipigwe clouds media? Kuna media ngapi Tanzania?