Wasanii??

Sharo hiphop

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
660
Reaction score
104
Ni kitu gani kinasababisha mahusiano mengi ya wasanii maarufu kutofikia malengo makubwa mfano kuoana?
Mfano mzuri ni taarifa za leo kwamba wapenzi wa siku nyingi kutoka kundi la THT Linah na Amani wameachana, hapa kuna nini?
 
wako katika spot light ndo maana inaonekana hivyo...
rudi katika maisha ya mtanzania wa kawaida... wengine
kamwe hakai bila mwanaume/ke na relationship ndefu kuliko zoote ilikua miezi 6
 
na wao ni binadamu kama sie,they are bound to make mistakes.....wanaonekana vicheche kwa sasa kila linalowahusu liko kny spot light...ila usidhanie wanafanya lolote kutushinda sie binadamu wengine......
 
Ni kitu gani kinasababisha mahusiano mengi ya wasanii maarufu kutofikia malengo makubwa mfano kuoana?
Mfano mzuri ni taarifa za leo kwamba wapenzi wa siku nyingi kutoka kundi la THT Linah na Amani wameachana, hapa kuna nini?
Linah na Amini wameachana muda sasa baada ya Amini kumdunda Linah kila kukicha baada ya Linah kuwa maarufu zaidi yake.Linah alivumilia sana lakini ilifika mahala akaona kwenda kwenye shows na manundu sio issue.
 
Linah na Amini wameachana muda sasa baada ya Amini kumdunda Linah kila kukicha baada ya Linah kuwa maarufu zaidi yake.Linah alivumilia sana lakini ilifika mahala akaona kwenda kwenye shows na manundu sio issue.

Wivu mwingine bwana, afu wanaeleza eti kila moja kamtakia mwenzie kuwa wanatemana kwa Amani! Kweli? Hakuna mwenye uchungu kweli?
 
Unaposema wengi una maana gani,unless una statistics ya kuonyesha hao wengi unaozungumzia, lkn ukija swala la watu maarufu kuto kudumu kwenye relation zao / kutokufikia malengo nafikiri ni sababu kila mmoja anajiona labda ame achieve kitu na anafikiri hata akimkosa mwenzake maisha bado yanakwenda
 

mifano mingine kama mitikisiko iliyokuwepo ya mapenzi kama ya Wema sepetu vs Steven Kanumba, Johari vs Ray, Ant Ezekiel vs Mr Tuez etc, ukienda nje mifano kibao kama ilivowatokea akina Bow Wow vs Ciara, J Lo vs wanaume kibao( Ben, P. Diddy etc) Rihhana vs Chris Brown nk. Umeona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…