Wasemaji Ibwe, Kamwe na Ahmedy wafungiwe haraka ndiyo walisababisha Taifa Stars ifungwe

Wasemaji Ibwe, Kamwe na Ahmedy wafungiwe haraka ndiyo walisababisha Taifa Stars ifungwe

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
4,611
Reaction score
5,009
Kufungwa kunauma sana.

Ila hawa wasemaji wakamatwe na wafungiwe kwa muda kuzungumzia mpira. Hawa wanamchango mkubwa sana kuharibu national team hasa kwa kupata matokeo mabovu leo.

Mfano katika press yao ya kuhamasisha walianza kuleta taharuki kwa kuhusiha mechi ya trh 19. Hii tayari ilipeleka preaha kwa mashabiki na wachezaji. Mashabiki kutunza noti zao za viingilio ili wasubirie trh 19.

Wachezaji kuwa na preaha na kuhofia kuumia wakiiwaza mechi ya tarehe 19.

Kimsingi hawa waseemaji hakuwa chachu bali ukakasi tu kwenye timu ya taifa.

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
 
Kufungwa kunauma sana.

Ila hawa wasemaji wakamatwe na wafungiwe kwa muda kuzungumzia mpira. Hawa wanamchango mkubwa sana kuharibu national team hasa kwa kupata matokeo mabovu leo.

Mfano katika press yao ya kuhamasisha walianza kuleta taharuki kwa kuhusiha mechi ya trh 19. Hii tayari ilipeleka preaha kwa mashabiki na wachezaji. Mashabiki kutunza noti zao za viingilio ili wasubirie trh 19.

Wachezaji kuwa na preaha na kuhofia kuumia wakiiwaza mechi ya tarehe 19.

Kimsingi hawa waseemaji hakuwa chachu bali ukakasi tu kwenye timu ya taifa.

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Sikio la kufa halisikii dawa
 
Kufungwa kunauma sana.

Ila hawa wasemaji wakamatwe na wafungiwe kwa muda kuzungumzia mpira. Hawa wanamchango mkubwa sana kuharibu national team hasa kwa kupata matokeo mabovu leo.

Mfano katika press yao ya kuhamasisha walianza kuleta taharuki kwa kuhusiha mechi ya trh 19. Hii tayari ilipeleka preaha kwa mashabiki na wachezaji. Mashabiki kutunza noti zao za viingilio ili wasubirie trh 19.

Wachezaji kuwa na preaha na kuhofia kuumia wakiiwaza mechi ya tarehe 19.

Kimsingi hawa waseemaji hakuwa chachu bali ukakasi tu kwenye timu ya taifa.

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Kibu D alicheza vizuri sana na wala hakuogopa kuumia.
 
Angalau ngazi ya vilabu tunafanya vizuri kwa sasa. Timu ya taifa ina siasa nyingi sijajua ni tangu zamani au ninyakati hizi zakaribuni. Ikishinda inakuwa timu ya mwenyekiti wa chama, ikifungwa inakuwa ya raia wote,hili ni tatizo. Simba na Yanga wanafanya vizuri lakini wawe makini na zile pesa za goli la mama kwani Kuna wakati uwekezaji wao mkubwa unaweza kubezwa badala yake kila wakishinda itaonekana ni nguvu ya goli la mama. Uganda,Congo na Rwanda ni mifano ya nchi zenye siasa flani zakibabe ila linapokuja suala la timu zao za taifa wanaacha wenye kuujua mpira wafanye Yao,ndomana timu zao za taifa zina nafuu flani.
 
Ni hatari sana kutumia michezo kuwa uwanja wa siasa. Kupata mafanikio huwa ngumu sana.

Mfano ndani ya ccm tu utakuta watu wanampinga chair wao. Sasa watashindwaje kuhujumu timu isipate matokeo kumkwamisha chair wao.
 
Back
Top Bottom