Njia ya mwongo ni fupi, tayari wamefika mwisho.Wakuu,
Ni muda umepita bila ya kuwasikia wasemaji wa CHADEMA kupitia mitandao haswa Lema na Mdude. Ni ukweli kuwa usemaji wao ni wa kufizia matukio na si usemaji wa kuuza sera za chama chao.
Nikiwa kama mdau mkubwa wa hawa watu naombeni kujua ni nini kimewapata hadi kutoweka kwenye mitandao zaidi ya wiki sasa.
Malipo na hapa hapa duniani aiseeWana laana ya Magufuli
Wamewalisha sana vijana wasiojielewa(misukule ya Mzee Mbowe) matangopori ya kutosha aisee.Njia ya mwongo ni fupi, tayari wamefika mwisho.
Hivi kweli kama kuna shida nchini kwa nini Lema kakimbia majuu na kuja kuhangaika na maandamano uchwara?Kunawatu wengi nchini wanaroho mbaya wanafurahi ukipitia matatizo... Wapinzani wanaumizwa,wanakimbizwa nchini,wanaharibiwa biashara nk. mnakaa kimya hata kukemea hamkemei ajabu wakitulia ndipo mnaibuka kuhoji ujinga!!!
Kama mnaona kunashida simseme ninyi kwanini mngoje wao??
Yumo humu Kamanda Erythrocyte anakiwasha akipambana na Komredi Lucas Mwashambwa wa CCM!Wakuu,
Ni muda umepita bila ya kuwasikia wasemaji wa CHADEMA kupitia mitandao haswa Lema na Mdude. Ni ukweli kuwa usemaji wao ni wa kufizia matukio na si usemaji wa kuuza sera za chama chao.
Nikiwa kama mdau mkubwa wa hawa watu naombeni kujua ni nini kimewapata hadi kutoweka kwenye mitandao zaidi ya wiki sasa.
Vumbi la Kongo limemchosha itakuwaErythrocyte mke halali wa mbowe unahitajika huku
Walipoingia mtengo wa kumkubali mwanaccm awe mgombea wao aiseeπββοΈπββοΈπββοΈchadema imeshajifia toka 2015
Erthycrocyte inatumiwa na watu watatu na mmoja wao ni LemaYumo humu Kamanda Erythrocyte anakiwasha akipambana na Komredi Lucas Mwashambwa wa CCM!
Kwamba mrembo Erythrocyte anapelekewa moto Sana.? ππVumbi la Kongo limemchosha itakuwa
Wewe unataka waseme nini? Hebu tuambie ni kitu gani walitakiwa kusema lakini hadi sasa hawajasemaWakuu,
Ni muda umepita bila ya kuwasikia wasemaji wa CHADEMA kupitia mitandao haswa Lema na Mdude. Ni ukweli kuwa usemaji wao ni wa kufizia matukio na si usemaji wa kuuza sera za chama chao.
Nikiwa kama mdau mkubwa wa hawa watu naombeni kujua ni nini kimewapata hadi kutoweka kwenye mitandao zaidi ya wiki sasa.
Wewe humuoni anavyohangaika humu ,yule mzee akiwa mikoani tu kichaa kinapanda aiseeKwamba mrembo Erythrocyte anapelekewa moto Sana.? ππ
Embu rushia post zao tano za mwisho ndio utaona huwa wanamawazo gani mkuu.Wengine tunafarahia kushangaa mapovu wanayotoa.Wewe unataka waseme nini? Hebu tuambie ni kitu gani walitakiwa kusema lakini hadi sasa hawajasema
Genye linampanda kichwani πWewe humuoni anavyohangaika humu ,yule mzee akiwa mikoani tu kichaa kinapanda aisee