Wasemaji wa Simba na Yanga endeleeni kuwagawa mashabiki wenu, mnachokitafuta mtakipata

Wasemaji wa Simba na Yanga endeleeni kuwagawa mashabiki wenu, mnachokitafuta mtakipata

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Jana pale uwanja wa Mkapa mmefanya Mambo ambayo ni dhahiri hata nafsi zenu zinawasuta. Nyie ni Watanzania na mna Uhuru wa kuamini au kuabudu chochote.

Mna dini zenu lakini pia mna itikadi zenu. Lakini kitendo cha kufuata itikadi mnayohusudu huku mkihusisha taasisi za soka ambazo nyie ni Wasemaji mnatafuta sifa upande mmoja huku mkibomoa upande wa pili.

Hakuna anayewazuia kupenda siasa na kushabikia siasa, lakini kuzinasibisha Simba na Yanga direct kwa maneno yanayotoka vinywani mwenu mmetengeneza Bomu litakalowala nyie wenyewe, tuko hapa tusubiri muda.
 
unawaongelea wtz wepi? hawa wanaopelekwa kwa upepo wa matukio, hilo nalo litapita kama ambavo la ex rc na mlawitiwa linavoelekea kupita
 
Jana pale uwanja wa Mkapa mmefanya Mambo ambayo ni dhahiri hata nafsi zenu zinawasuta. Nyie ni Watanzania na mna Uhuru wa kuamini au kuabudu chochote. Mna dini zenu lakini pia mna itikadi zenu. Lakini kitendo cha kufuata itikadi mnayohusudu huku mkihusisha taasisi za soka ambazo nyie ni Wasemaji mnatafuta sifa upande mmoja huku mkibomoa upande wa pili.
Hakuna anayewazuia kupenda siasa na kushabikia siasa, lakini kuzinasibisha Simba na Yanga direct Kwa maneno yanayotoka vinywani mwenu mmetengeneza Bomu litakalowala nyie wenyewe, tuko hapa tusubiri muda.

Ccm imechangia sana kupoteza hamasa ya kisiasa hapa nchini hasa kipindi cha dhalimu magu, hamasa imebaki kwenye soka, sasa ccm wanalazimisha kujiingiza kwenye soka ili wapatie mtaji wa watu huko. Kwa bahati mbaya hizi club kubwa za hapa nchini zinafuata modality hiyo hiyo ya ccm, hivyo ni rahisi kuingiza huo upuuzi wa siasa za ccm huko.

Hizo club za soka ziangalie vilipoishia vyombo vya habari vilivyokubali kuingiza siasa za ccm kwenye media zao.
 
Wanajiita "Friends of Samia" nchi Ina viroja hii.
 
Anguko la soka Tanzania liko karibu .
 
Lilitokea jana halipaswi kushabikiwa na shabiki yoyote wa mpira maana madhara yake ni makubwa huko mbeleni FIFA kukataza mpira kuchanganywa na siasa wanajua madhara yake sasa sisi tunajifanya wajuzi wa mambo na kuona sawa tu. Hata kama wasemaji wana vyama lakini wao kutokea mbele ya jukwaa la siasa hakika limevunja moyo baadhi ya mashabiki na linaenda kuwagawa hakika
 
unawaongelea wtz wepi? hawa wanaopelekwa kwa upepo wa matukio, hilo nalo litapita kama ambavo la ex rc na mlawitiwa linavoelekea kupita
Uko sahihi kabisa ndugu yani nchi hii watu wanapiga kelele siku mbili ya tatu washasahau wanabishana kula kimasihara
 
Jana pale uwanja wa Mkapa mmefanya Mambo ambayo ni dhahiri hata nafsi zenu zinawasuta. Nyie ni Watanzania na mna Uhuru wa kuamini au kuabudu chochote. Mna dini zenu lakini pia mna itikadi zenu. Lakini kitendo cha kufuata itikadi mnayohusudu huku mkihusisha taasisi za soka ambazo nyie ni Wasemaji mnatafuta sifa upande mmoja huku mkibomoa upande wa pili.
Hakuna anayewazuia kupenda siasa na kushabikia siasa, lakini kuzinasibisha Simba na Yanga direct Kwa maneno yanayotoka vinywani mwenu mmetengeneza Bomu litakalowala nyie wenyewe, tuko hapa tusubiri muda.
Sijawelewa anaongezea nini.wengine hata huko kwa mkoa hatupajui.unatakiwa uwe direct to the point.
 
Back
Top Bottom