Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
Hivi hakuna uwezekano makocha au benchi la ufundi pekee likawa linahusika kutoa taarifa za kiufundi kuhusu timu zao Kwani wao ndio wataalam wa hayo mambo.
Hawa wasemaji ni Tambo tu unakuta hata kikosi kitakachoanza katika mechi husika hakifahamu. Utasikia wapinzani wajiandae kukutana na PIRA...........
Mara kile kipigo cha raundi ya Kwanza kinawarudia tena na maneno mengi ambayo hayaendani na uhalisia wa Soka.
Hawa wasemaji ni Tambo tu unakuta hata kikosi kitakachoanza katika mechi husika hakifahamu. Utasikia wapinzani wajiandae kukutana na PIRA...........
Mara kile kipigo cha raundi ya Kwanza kinawarudia tena na maneno mengi ambayo hayaendani na uhalisia wa Soka.