GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,348
- 1,805
Habari Wana jamvi....
Naamini jukwaa hili limebeba watu wengi sana , Leo napenda tushare taarifa na uzoefu mbali mbali hasa kwa wale wakatoliki wenzangu tuliosoma shule za seminary, binafsi nilisoma Nyegezi Seminary.....
Unakumbuka Nini katika maisha ya shule seminary....
Naamini jukwaa hili limebeba watu wengi sana , Leo napenda tushare taarifa na uzoefu mbali mbali hasa kwa wale wakatoliki wenzangu tuliosoma shule za seminary, binafsi nilisoma Nyegezi Seminary.....
Unakumbuka Nini katika maisha ya shule seminary....