barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Manchester City inategemewa kuweka dau la mchezaji tegemezibwa Arsenal Fc muda wowote. Man City inasemekana wanamtaka Sanchez na watawapa Arsenal Raheem Sterling na dau kidogo! Pia inasemekana nae Sanchez amekuwa akisisitiza kuwa anataka kuondoka Arsenal.
Arsenal inarudi tena kwenye selling club kama watakubali kumuuza Sanchez!
Kwa kweli kama kocha na wachezaji wenzake hawaonyeshi bidio yoyote na kuwa kama an average team, wachezaji wazuri wana haki ya kutaka kuondoka.
Source: SkySports.com
Arsenal inarudi tena kwenye selling club kama watakubali kumuuza Sanchez!
Kwa kweli kama kocha na wachezaji wenzake hawaonyeshi bidio yoyote na kuwa kama an average team, wachezaji wazuri wana haki ya kutaka kuondoka.
Source: SkySports.com