kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Jipe moyo lkn hamna timu pale...Kwa sasa wanaamini kwa vile wamesajili wacongo wengi basi TP Mazembe imewawakilisha.
Ninashangaa wana furaha sana licha ya kutolewa klabu bingwa Afrika mechi ya awali kabisa.Wao wanaamini kikosi chao kinauwezo wa kuifunga Simba.
Nahisi wengi wanafikiri eidha nao walikuwa wanacheza mechi ya kirafiki ama walidhani Simba naye amecheza mechi ya klabu bingwa.
Kama ni kufurahia Simba kupoteza kwa vile wao pia walipoteza na Simba ikafurahi,wajue tu kuwa wanasimba walifurahi kutokana na mfungaji wa goli siku ile;Muhimu sana kumkumbuka "Kapumbu"
Nimecheka sana leo,Haya makima ni Mazezeta mno yametolewa CAF Champions league kwa Aibu lakini yanafuraha kinoma yameona Freshi tu.Si ndio maana wakaitwa manyani f.c au misukule f.c.
Umekuwaje mkuu mbona unapaniki tatizo nini, majigambo yenu ndo yamewarudia na timu yenu kali tumeiona bwana, tulia kunywa maji mengi upumzike ee bwana,,,mko vizuri Sana yani mkuu🤣🤣🤣🤣🤣Kwa sasa wanaamini kwa vile wamesajili wacongo wengi basi TP Mazembe imewawakilisha.
Ninashangaa wana furaha sana licha ya kutolewa klabu bingwa Afrika mechi ya awali kabisa. Wao wanaamini kikosi chao kina uwezo wa kuifunga Simba...
Aisee Simba hadi mashabiki wamevurugwa. Aliyemuelewa huyu anisaidie nami nieleweKwa sasa wanaamini kwa vile wamesajili wacongo wengi basi TP Mazembe imewawakilisha.
Ninashangaa wana furaha sana licha ya kutolewa klabu bingwa Afrika mechi ya awali kabisa. Wao wanaamini kikosi chao kina uwezo wa kuifunga Simba.
Nahisi wengi wanafikiri eidha nao walikuwa wanacheza mechi ya kirafiki ama walidhani Simba naye amecheza mechi ya klabu bingwa.
Kama ni kufurahia Simba kupoteza kwa vile wao pia walipoteza na Simba ikafurahi, wajue tu kuwa wanasimba walifurahi kutokana na mfungaji wa goli siku ile; Muhimu sana kumkumbuka "Kapumbu"
Kwa sasa wanaamini kwa vile wamesajili wacongo wengi basi TP Mazembe imewawakilisha.
Ninashangaa wana furaha sana licha ya kutolewa klabu bingwa Afrika mechi ya awali kabisa. Wao wanaamini kikosi chao kina uwezo wa kuifunga Simba.
Nahisi wengi wanafikiri eidha nao walikuwa wanacheza mechi ya kirafiki ama walidhani Simba naye amecheza mechi ya klabu bingwa.
Kama ni kufurahia Simba kupoteza kwa vile wao pia walipoteza na Simba ikafurahi, wajue tu kuwa wanasimba walifurahi kutokana na mfungaji wa goli siku ile; Muhimu sana kumkumbuka "Kapumbu"
Wakati mwingine sisi mashabiki wa hizi club mbili ni kama mapacha au watoto waliofuatana.Kwa sasa wanaamini kwa vile wamesajili wacongo wengi basi TP Mazembe imewawakilisha.
Ninashangaa wana furaha sana licha ya kutolewa klabu bingwa Afrika mechi ya awali kabisa. Wao wanaamini kikosi chao kina uwezo wa kuifunga Simba.
Nahisi wengi wanafikiri eidha nao walikuwa wanacheza mechi ya kirafiki ama walidhani Simba naye amecheza mechi ya klabu bingwa.
Kama ni kufurahia Simba kupoteza kwa vile wao pia walipoteza na Simba ikafurahi, wajue tu kuwa wanasimba walifurahi kutokana na mfungaji wa goli siku ile; Muhimu sana kumkumbuka "Kapumbu"
Makolo muli Bwanji?Nimecheka sana leo,Haya makima ni Mazezeta mno yametolewa CAF Champions league kwa Aibu lakini yanafuraha kinoma yameona Freshi tu.