barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Habari zenu!
Nilikuwa nasikiliza na kuangalia kipindi cha mshike mshike cha azam tv, leo tarehe 19/04/2019.
Wanaongelea washambuliaji wa zamani wa kitanzania.
Wamemuhoji Mogella Zamoyoni na Edibily lunyamila na madaraka suleiman Wametoa pia reference ya Mohamed hussein wa yanga kuwa hapo zamani kulikuwaga na washa mbuliaji kweli kweli wa soka hapa tanzania. Hata hao waliohojiwa wamedai ni kweli, enzi zao na pia wao wenyewe walikuwa balaa.
Sasa hivi hamna washambuliaji kabisa ambao ni wazawa wa ndani.
Swali langu: Je hao washambuliaji wa zamani ni kitu gani walifanikiwa kufanikiwa eidha ktk club au timu ya taifa Ambacho kinawafanya waamini zamani kulikuwa na washambuliaji wakali kuliko sasa?
Nilikuwa nasikiliza na kuangalia kipindi cha mshike mshike cha azam tv, leo tarehe 19/04/2019.
Wanaongelea washambuliaji wa zamani wa kitanzania.
Wamemuhoji Mogella Zamoyoni na Edibily lunyamila na madaraka suleiman Wametoa pia reference ya Mohamed hussein wa yanga kuwa hapo zamani kulikuwaga na washa mbuliaji kweli kweli wa soka hapa tanzania. Hata hao waliohojiwa wamedai ni kweli, enzi zao na pia wao wenyewe walikuwa balaa.
Sasa hivi hamna washambuliaji kabisa ambao ni wazawa wa ndani.
Swali langu: Je hao washambuliaji wa zamani ni kitu gani walifanikiwa kufanikiwa eidha ktk club au timu ya taifa Ambacho kinawafanya waamini zamani kulikuwa na washambuliaji wakali kuliko sasa?