kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Ikiwa deal za timu hizi zitatimia Basi kuelekea Msimu ujao
Washambuliaji wa yanga na Simba watakuwa hivi
Yanga
11 lilepo
10 ngoma
9 mayele
7 kizumbi
Simba
11 adebayoh
10 chama
9 beleke
11 phiri
Unafikiri ni timu ipi ambayo itatisha zaidi
Kwangu yanga watakuwa na kikosi cha wapambanaji zaidi
Washambuliaji wa yanga na Simba watakuwa hivi
Yanga
11 lilepo
10 ngoma
9 mayele
7 kizumbi
Simba
11 adebayoh
10 chama
9 beleke
11 phiri
Unafikiri ni timu ipi ambayo itatisha zaidi
Kwangu yanga watakuwa na kikosi cha wapambanaji zaidi