Washambuliaji wengi wa Tz hawana uwezo wa kuamua mechi

Washambuliaji wengi wa Tz hawana uwezo wa kuamua mechi

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
Umeelezea fact kubwa sana mkuu ila hautaeleweka.
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
Siwezi kumlaumu Okrah Kwa tukio lile, lakini Mzize si quality ya kucheza timu kubwa. Mzize Aidha awe back up au aende Mtibwa.
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
Sahihi kabisa chief....
 
Hakuna Cha kulaumu hapo ndo uwezo wetu ulipoishia kwa uwekezaji kbongo kbongo usitegemee kuona quality players, mpira wa Zama hizi umebadilika jarbu kuangalia hata training session za hao unaowasifia ndo utajua kwann wapo hvyo.. budget ya timu ya mwaka mzma wenzenu wanatumia kusajili mchezaji mmoja na Bado chenji inabaki.. Sasa huko kwenye miundombinu kukoje.. jarbu kufuatilia mazingira ya mzize alipotokea mpaka kufikia hapo huwezi kulaumu hata kidogo mpira sio lelemama kama unavyouona uwanjani


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
Mzee acha ungo 2010 fainali za Euro hazikuwepo acha kusikiliza stori za vijiweni fainali za Euro zilichezwa 2008 pili uyo Fernando Torres ni mchezaji wa kaliba ya juu Sana amepitia mafuzo makubwa sana ya soka usilingalinishe na wachezaji wako sijui kina okrah
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
jamaa muongo sana kwenye mechi ya fainali ya Euro 2008 kipa hakua manuer Neur kipa alikua Lehmann kipa wa zamani wa klabu ya Arsenal acha kusikiliza stori za vijiweni
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
Uko sahihi sana. Mfano mzuri ni mechi zote mbili ya Simba juzi na YANGA jana. Ila nafasi aliyopata Saido utajiuliza ilikuweje goli lote lile unamlenga kipa pale pale alipo. Na hiyo nimeiona mara nyingi kwa wachezaji wa Simba na YANGA wakiwa hatua ya mwisho hawatulii kwa haraka kuangalia nafasi nzuri za ku-score. Mara nyingi wanalenga alipo kipa.
Ukija kwenye mechi ya jana YANGA ni hivyo hivyo kuna muda Azizi Ki ilikuwa autoroshe mpira pembeni kidogo tu kwa beki then apige. Kuna Msonda pia. Mzize ndio kabisa hana mbinu kabisa za mwisho.

Mara nyingi huwa namuangalia sana Vinicius Jr wa Real Madrid. Kwenye nafasi kama zile ni nadra kukosa bao,atascore kwa usahihi na kwa kasi ya kushtukiza.

Washambuaji wetu kuna haja ya kuwafundisha sana MAAMUZI YA HARAKA YA MWISHO.
 
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
sio tanzania tu washambuliaji duniani ni wachache
 
Kuna watu mnafikiri kufunga goli ni rahisi sana. Ukiangalia mpira ukichezwa, unaweza kushangaa inakuwaje mchezaji anakosa goli la wazi kiasi kile!! Ingia wewe sasa uone utakavyotoka ulimi. 🥵

Halafu kumlinganisha mchezaji mkubwa kama Fernando Torres na Clement Mzize, nadhani siyo sahihi. Maana hao wachezaji wawili wako dunia mbili tofauti.
 
U
Mshambuliaji timamu lazima pia uwe unabakiza pumzi ya akiba kwa ajili ya kufanya shambulizi la kushtukiza, tumeona Okrah na Mzize walipata nafasi ya counter attack wako wawili na beki mmoja wa mwisho engo tofauti lakini wakashindwa kutumia nafasi hiyo kwa kuzidiwa kasi na mabeki ina maana hawana uwezo wa ziada kufanya maajabu kwenye maeneo hayo ya mwisho.

Mwaka 2010 baada ya mshambuliaji Fernando Torres wa Hispania kufunga bonge la bao dhidi ya Ujerumani dakika za lala ulaliwe alihojiwa aliwezaje kufanya maajabu yale dakika mbaya ambazo kikawaida wachezaji wengi wanakuwa washachoka akasema yeye huwa anabakiza pumzi ya tukio maalumu iwapo ikitokea mpira uliokufa aweze kufanya shambulizi la kikatili kwa kasi ya ajabu kuwashinda mabeki wa upinzani. Jamaa alimlamba chenga beki kisiki Philip Lahm kisha golikipa Manuel Neur akalambishwa nyasi nyavu zikatikisika Hispania ikatwaa kombe la Euro.

Washambuliaji wote wa Yanga na simba wana tatizo hilo la ubutu, hawana uwezo wa kuamua mechi ngumu wakibanwa wanakuwa wa kawaida kabisa

Kama unafatilia soka la dunia utakubaliana nami mfano Didier Drogba aliyokuwa anafanya chelsea hata ile fainali ya UEFA mwaka 2012 ingekuwa hawa kina Mzize au Kibu Denis chelsea isingetwaa UEFA ile mbele ya Bayern Munich

Straika lazima uwe na kitu cha ziada usiwe yori yori

Hiyo ndio sifa inayowapa mishahara minono kina Karim Benzema, Luis Suarez, Haaland, Victor Boniphace nk
Umeelezea fact ila mifano kidogo haikai vizuri ni bora hata badala ya Torres ungemuweka Mayele.
 
Hakuna Cha kulaumu hapo ndo uwezo wetu ulipoishia kwa uwekezaji kbongo kbongo usitegemee kuona quality players, mpira wa Zama hizi umebadilika jarbu kuangalia hata training session za hao unaowasifia ndo utajua kwann wapo hvyo.. budget ya timu ya mwaka mzma wenzenu wanatumia kusajili mchezaji mmoja na Bado chenji inabaki.. Sasa huko kwenye miundombinu kukoje.. jarbu kufuatilia mazingira ya mzize alipotokea mpaka kufikia hapo huwezi kulaumu hata kidogo mpira sio lelemama kama unavyouona uwanjani


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Bodabodah aliyekuwa anajichezea Kama hobby
 
Back
Top Bottom