Washauri majibu ya vipimo kuandikwa kwa penseli

Washauri majibu ya vipimo kuandikwa kwa penseli

Marwa_J_Merengo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
4,512
Reaction score
6,882
katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi wa rubya huko wilayani muleba wameishauri serikali kutunga sheria itakayowalazimisha madaktari kuandika matokeo ya vipimo vyao vya maradhi ya ukimwi kwa kutumia kalamu ya penseli

wametoa ushauri huo pale walipotembelewa na waziri wa afya katika uzinduzi wa kampeni ya kijue kifo chako inayojihusisha na upimaji wa virusi vya ukimwi na utoaji wa vyeti vya kifo kwa waathirika walio kwenye hali mahtuti

wakazi hao wameweka wazi kutofurahishwa na utaratibu wa sasa wa uandikaji majibu ya vipimo vyao kwa kalamu ya wino kwani huwafanya kutokuwa na uwezo wa kufuta neno positive na kuandika neno negative

Wakazi hao wamesema endapo serikali haitachukua hatua za mapema kutunga sheria hiyo kuna hatari ya watu wengi kuacha kwenda kupima maradhi ya ukimwi
 
Back
Top Bottom