Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Tunaandika katiba za Makampuni na NGOs
2. Tunaandika Business plans za biashara, makampuni na NGOs
3. Tunaandika Memorandum and Articles of Association za makampuni.
4. Tunatoa ushauri jinsi ya kuanzisha biashara na kuanzisha kampuni au NGO
5. Tunatoa ushauri jinsi ya kusajili kampuni na NGOs
6.Tunaanda company profile na NGOs Profile
7. Na mengine mengi