mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Me kwa busara zangu nimemuagizia tu aniletee samsung S8 nina 100,000 kwa sababu najua nini kita happen huko mitaa ya leaders
Wako kikosi kama 20 hivi mbaya zaidi ni watoto wa kino wazawa pande za huku sijui kinondoni shamba ,makaburini ndio walikua wanacheza kibaba baba
Poleni sana mitaa ya huko leaders hawa jamaa ni wabobezi wasipokukaba nje ya jukwaa watakupiga vice ndani ya leaders ,wako very organized ,ticket hua hawanunui ila wana access yakuingia na kutoka ndani hawakwepeki hata ukikaa VIP wanaondoka na pocha
Ushauri wangu nenda na kitochi hako ka smart kasemehe
Silaha zao hawabebi pistol wanaona inachelewesha wamechukua viwembe (Topaz),bisibisi ,spoke,nyundo,kamba na gunia (hili gunia sijui watumizi yake [emoji23][emoji23] landa wa practice mbeye yangu)
Wako kikosi kama 20 hivi mbaya zaidi ni watoto wa kino wazawa pande za huku sijui kinondoni shamba ,makaburini ndio walikua wanacheza kibaba baba
Poleni sana mitaa ya huko leaders hawa jamaa ni wabobezi wasipokukaba nje ya jukwaa watakupiga vice ndani ya leaders ,wako very organized ,ticket hua hawanunui ila wana access yakuingia na kutoka ndani hawakwepeki hata ukikaa VIP wanaondoka na pocha
Ushauri wangu nenda na kitochi hako ka smart kasemehe
Silaha zao hawabebi pistol wanaona inachelewesha wamechukua viwembe (Topaz),bisibisi ,spoke,nyundo,kamba na gunia (hili gunia sijui watumizi yake [emoji23][emoji23] landa wa practice mbeye yangu)