Nafikiri serikali ya Tanzania(SISIEM ),inabidi itoe heshima ya hali ya juu
kwa chuo hiki kwa kuelimisha Viongozi wetu wengi kuanzia Mh Lukuvi (BA degree ) Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam ,Mbunge wa Ukonga Mh Makongoro kwa kupata Phd na wengineo wengi.
Keep it up Washington Int.University kwa kuchangia elimu ya Tanzania