Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Maandamano yajayo ya CHADEMA kwenye majiji matatu, yatakusanya baadhi ya Watu ambao hukudhani kama wanaweza kuguswa na jambo hili.
Taarifa zinazofichwafichwa zinadokeza kwamba, Wamo viongozi wastaafu wa Serikali, wakiwemo mabalozi, Mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa, kuna uwezekano mkubwa wa Maandamano hayo kuvunja rekodi za maandamano yaliyowahi kufanyika Nchi hii, hasa ukizingatia uwezo mkubwa wa Waandaji kwenye eneo la Uhamasishaji.
Usithubutu kuondoka JF, tutakuwa tuna update hizi taarifa kwa kadri tunavyozipata mpya kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika ndani ya Kamati ya Maandamano.
Pia soma:
Taarifa zinazofichwafichwa zinadokeza kwamba, Wamo viongozi wastaafu wa Serikali, wakiwemo mabalozi, Mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa, kuna uwezekano mkubwa wa Maandamano hayo kuvunja rekodi za maandamano yaliyowahi kufanyika Nchi hii, hasa ukizingatia uwezo mkubwa wa Waandaji kwenye eneo la Uhamasishaji.
Usithubutu kuondoka JF, tutakuwa tuna update hizi taarifa kwa kadri tunavyozipata mpya kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika ndani ya Kamati ya Maandamano.
Pia soma:
- Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi
- CHADEMA mkitaka maandamano yafanikiwe fanyeni kwenye makundi na agenda maalumu
- Mwitikio Maandamano Chadema yawasikitisha wengi
- Machifu Mbeya wapinga Maandamano ya CHADEMA
- Hizi ndizo sababu Watanzania hawatoshiriki maandamano ya CHADEMA
- Kwa nini maandamano ya Mwanza hayana promo?
- Dkt. Tulia akosoa maandamano ya CHADEMA Mbeya
- CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024
- Washiriki wa Maandamano ya Chadema kwenye Majiji Matatu watashangaza wengi, wamo Vigogo kadhaa usiowadhania
- Hivi maandamano ya amani ya CHADEMA yana tija gani mbona mambo yanazidi kuwa magumu kwa wananchi? Au ni usanii tu
- CHADEMA mkitaka maandamano yafanikiwe fanyeni kwenye makundi na agenda maalumu
- Kamati ya Maridhiano ya Taifa yashangaa CHADEMA Kufanya Maandamano wakati Taifa lina Misiba mitatu mikubwa, laitaka CHADEMA iwe na Utu!
- CHADEMA wakiwa kwenye Maandalizi ya Kufanya maandamano
- Mbowe hebu tupe jibu, lini ulifanya maandamano ya CHADEMA Moshi mjini?
- Ufunguzi wa maandamano ya CHADEMA! CCM bado hawajasema
- Makamanda wa CHADEMA washangaa TBC, Channel ten, Ayo TV, ITV na Clouds tv kushiriki Press ya Mchungaji Msigwa wakati Maandamano huwa hawaripoti!
- Kwa kauli ya DC Mbeya, maandamano ya CHADEMA yanafanyika sababu Rais Samia ameruhusu na sio kwa sababu ya Katiba
- Kama Jeshi litafanya usafi tarehe 23-24, basi CHADEMA ifanye maandamano tarehe 25 wapite njia zikiwa safi
- Nini tofauti ya maandamano afanyayo Makonda na yatakayofanywa na CHADEMA?
- Hizi ndizo sababu za kwanini Serikali ya CCM haitaki Maandamano ya CHADEMA
- Mtazamo: Maandamano ya CHADEMA ya 24/01/2024 yaachwe ili lengo la Mbowe lisitimie
- Maandamano ya Chadema yanazungumzia Masuala ya Kitaifa hivyo hakuna haja Wabunge wa Mwanza, Mbeya na Arusha kupanic!
- RPC wa Mbeya apongezwe kwa kusimamia vema maandamano ya Chadema na ziara ya Biteko
- Maandamano CHADEMA Mwanza kuhujumiwa na Media: Ni wakati Kuviadhibu vyombo vya habari
- Mizizioloji? Pamoja na mvua kubwa kila kona ya Nchi watu wanajitokeza kwa wingi kwenye maandamono ya Chadema
- Kwahiyo CHADEMA hata maandamano mnalipana posho?
- CHADEMA njia Panda, Mikoa yote Tanzania inataka Maandamano ya Amani. Wadai Mikoa Minne pekee haitoshi
- Dodoma: Vyama vingine 6 vyajitokeza kupinga maandamano yaliyoitishwa na Chadema
- Tetesi: - Maandamano ni vita ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- CHADEMA mkitaka maandamano yafanikiwe fanyeni kwenye makundi na agenda maalumu