Wasichana njooni hapa: Ukiwa na tabia hizi kuolewa itakuwa ngumu sana

Wasichana njooni hapa: Ukiwa na tabia hizi kuolewa itakuwa ngumu sana

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Siku hizi wasichana wengi wazuri au warembo, ili kuwanasa, lazima uwahonge pesa nyingi.

Jamii imebadilika sana si kama zamani, ambapo mapenzi yalikuwa hayaangalii una pesa kiasi gani, mapenzi yalikuwa yanaangalia upendo wa dhati; yaani jinsi mtu anavyokupenda na malengo yake kwako.

Siku hizi msichana ukimhitaji kuwa naye kwenye uhusiano wa mapenzi, hata kama unaonana naye kwa mara ya kwanza barabarani, atakukubalia kwa maneno hapohapo na kukupa namba ya simu kama umemuomba.

Usidhani amekukubalia kwamba wewe ni mzuri sana au umemvutia kwa umbo au kwa maneno uliyompa, la hasha! Subiri dakika tu mkishapeana kisogo, halafu uangalie SMS zitakazoanza kuingia kutoka kwake.

Utakuta SMS kama baby naomba nisaidie pesa kidogo babu yangu anaumwa sana, nataka nikamuone kijijini, Tena anakuambia nitumie kwa simu, halafu maskini ya Mungu pengine babu yake anayesingizia anaumwa, alishafariki dunia miaka mingi iliyopita. Lengo ni kuanza kukulia pesa zako tu.

Ukishatuma hizo pesa za kwenda kumtazama babu yake, kesho utasikia naomba nitumie pesa kidogo nilikuwa ninadaiwa chuoni, sikumaliza ada!

Ukiona hivyo, ujue umeshakuwa mzazi wake, Rafiki nikuambie tu kwamba, kwenye mazingira kama haya, kuwa makini mno kwa sababu unaweza ukajikuta unapigwa pesa na kuambulia patupu!

Unachopaswa kujua ni kwamba, mwanamke huyo ataendelea hivyohivyo, akikuomba pesa ndogondogo hadi siku ya siku ambapo utashangaa imefika shilingi milioni moja, halafu ukimwambia mbona unazidi kuniomba pesa tu wakati sioni kama umenikubali kweli, utasikia atakachokwambia na utabaki umeduwaa.

yanayoendana na haya; “Vipesa vyako vinakuuma ehee! Kama vinakuuma nipotezee! Chukua time yako!”

Hapo hazungumzii kukurudishia pesa alizokula; yaani ameshakutenda, hapo utabaki unawaza bora hizo pesa ulizokuwa unamsaidia, ungefugia kuku wa nyama, pengine ungekuwa na biashara kubwa, ndivyo walivyo baadhi ya wanawake, hawana fadhila kwa wanaowapenda kwa dhati.

Dada yangu, mwanaume akikupenda, anaweza akawa anakula mkate na maji analala ili tu apate pesa za kukupa zitakazo-kuwezesha kufanya unachotaka.
 
Siku hizi wasichana wengi wazuri au warembo, ili kuwanasa, lazima uwahonge pesa nyingi.

Jamii imebadilika sana si kama zamani, ambapo mapenzi yalikuwa hayaangalii una pesa kiasi gani, mapenzi yalikuwa yanaangalia upendo wa dhati; yaani jinsi mtu anavyokupenda na malengo yake kwako.

Siku hizi msichana ukimhitaji kuwa naye kwenye uhusiano wa mapenzi, hata kama unaonana naye kwa mara ya kwanza barabarani, atakukubalia kwa maneno hapohapo na kukupa namba ya simu kama umemuomba.

Usidhani amekukubalia kwamba wewe ni mzuri sana au umemvutia kwa umbo au kwa maneno uliyompa, la hasha! Subiri dakika tu mkishapeana kisogo, halafu uangalie SMS zitakazoanza kuingia kutoka kwake.

Utakuta SMS kama baby naomba nisaidie pesa kidogo babu yangu anaumwa sana, nataka nikamuone kijijini, Tena anakuambia nitumie kwa simu, halafu maskini ya Mungu pengine babu yake anayesingizia anaumwa, alishafariki dunia miaka mingi iliyopita. Lengo ni kuanza kukulia pesa zako tu.

Ukishatuma hizo pesa za kwenda kumtazama babu yake, kesho utasikia naomba nitumie pesa kidogo nilikuwa ninadaiwa chuoni, sikumaliza ada!

Ukiona hivyo, ujue umeshakuwa mzazi wake, Rafiki nikuambie tu kwamba, kwenye mazingira kama haya, kuwa makini mno kwa sababu unaweza ukajikuta unapigwa pesa na kuambulia patupu!

Unachopaswa kujua ni kwamba, mwanamke huyo ataendelea hivyohivyo, akikuomba pesa ndogondogo hadi siku ya siku ambapo utashangaa imefika shilingi milioni moja, halafu ukimwambia mbona unazidi kuniomba pesa tu wakati sioni kama umenikubali kweli, utasikia atakachokwambia na utabaki umeduwaa.

yanayoendana na haya; “Vipesa vyako vinakuuma ehee! Kama vinakuuma nipotezee! Chukua time yako!”

Hapo hazungumzii kukurudishia pesa alizokula; yaani ameshakutenda, hapo utabaki unawaza bora hizo pesa ulizokuwa unamsaidia, ungefugia kuku wa nyama, pengine ungekuwa na biashara kubwa, ndivyo walivyo baadhi ya wanawake, hawana fadhila kwa wanaowapenda kwa dhati.

Dada yangu, mwanaume akikupenda, anaweza akawa anakula mkate na maji analala ili tu apate pesa za kukupa zitakazo-kuwezesha kufanya unachotaka.
Una hoja mkuu. Tena ni somo. Kuna jamaa yangu alichukua namba kwa demu, jamaa baada ya siku tatu anataka mzigo, demu akasema "mbona mapema sana". Jioni demu akamuomba jamaa elfu kumi, jamaa akamwambia: "Mbona mapema sana." Wakahitimisha mawasiliano.
 
Sasa kumbe mnajua kwamba zamani wanawake walikuwa wanaangalia upendo wa dhati, ni kwa sababu wanaume wengi wa zamani walikuwa nao huo upendo wa dhati, je umeshajiuliza kama hawa wanaume wa sasa wana upendo wa dhati, au mnataka watoto wa watu wazame kwenye mapenzi muendelee kuwapiga na vitu vizito, ukweli ni kwamba wanaume wengi kwa matendo yenu na namna mnavyowachukulia wanawake hamstahili kupendwa
 
ni upumbavu mkubwa kumhonga mwanamke ili anipende. Siwezi kufanya huo ujinga wa kununua upendo bora nibaki peke yangu.
 
Hivi.....
Mwanaume anapata wapi muda wa kumsemea mwanamke..!!
Na..... ndio naona skuizi wasio na ndoa wanawafundisha walio ndani ya ndoa namna ya kuishi kwenye ndoa...😝
 
Kama wanawake wa zamani walijali zaidi upendo unadhani hawa wa sasa kwa nini wengi hawapo hivyo? Mjifanyie uchunguzi kwanza nyie kabla ya kunyooshea kidole wanawake.
 
Una hoja mkuu. Tena ni somo. Kuna jamaa yangu alichukua namba kwa demu, jamaa baada ya siku tatu anataka mzigo, demu akasema "mbona mapema sana". Jioni demu akamuomba jamaa elfu kumi, jamaa akamwambia: "Mbona mapema sana." Wakahitimisha mawasiliano.
😀😀😀😀 wakongwe wamekutana
 
Hivi.....
Mwanaume anapata wapi muda wa kumsemea mwanamke..!!
Na..... ndio naona skuizi wasio na ndoa wanawafundisha walio ndani ya ndoa namna ya kuishi kwenye ndoa...😝
Kama hao wanaume wanandoa wamekua wapumbavu lazima tuwafundishe.

Kuoa sio kipimo cha akili kuna matahira kibao wameoa. Mnaoa mnaandika mali zote jina la mke mkiachana unabaki masikini hauna kitu sasa kwanini tusiwafundishe
 
Kama wanawake wa zamani walijali zaidi upendo unadhani hawa wa sasa kwa nini wengi hawapo hivyo? Mjifanyie uchunguzi kwanza nyie kabla ya kunyooshea kidole wanawake.
Hatupo ivyo kwa sababu wanawake wa sasa hamna sifa za kustahili sacrifice za mwanaume.

Mnataka tuwe na vigezo kama vya mababu zetu ambao walizilinda na kuzipigania familia zao kwa kila hali ila sasa na sisi tukitaka miwe na vigezo kama vya mabibi zetu ambavyo ni heshima, utiifu, uvumilivu, maadili na bikira ili kuwe na fair trading hapo ndipo mnaamisha goli.

You want to teach us morals but you have non, you teach us to respect women but when we teach you to respect men you say that's outdated slavery, you judge us harshly and ruthless but when we do the same to you, you play victim role.
 
Nani amekuambia binti za Eva wanataka kuolewa siku hizi?
 
Back
Top Bottom